anna bubelwa
Member
- Mar 12, 2013
- 40
- 10
Habari zenu wanajamvi, nnaomba kuuliza kuhusu oral interview ya utumishi katika ofic za ppra kwa anaejua specific date naomba anijuze cz toka tar 3 mwez wa tano wamesema tusubir lkn mpka sasa hakuna cha taarfa yoyote ya kuitwa kufanya oral wala hakuna kupigiwa simu na watu tumetoka mikoani hatuna ndugu huku. pia ukisema uondoke dar wenda siku unayoondoka wakaita so naombeni kufahamishwa mwenye taarfa zaid.
ASANTENI
ASANTENI