Recent content by ankopablo

  1. A

    JamiiForums Tanzania Hii Scenario ni kwangu tu au na nyie huwa inawakuta?

    Pole sana mkuu[emoji23][emoji23], ni kisanga kwakweli.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Hahahahahha mzee alikua kazini[emoji23][emoji23]
  3. A

    JamiiForums Tanzania Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

    Ni utoto na udhaifu wa hali ya juu sana, huyu ana matatizo ya kijinsia ndio maana anatafuta njia ya kujustfy kwa jamii kua anaweza na hana tatizo ila kiuhalisia sio mzima. Mwanaume kamili hawezi kujisifia kutumia udhaifu wa mwanamke hadi kuuleta huku mtandaoni isitoshe ni mke wa mtu. Kwa kifupi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mwenye ufahamu na simu ya iPhone 7 anisaidie

    Huyu atakua hana apple ID, ndio amenunua iphone
  5. A

    JamiiForums Tanzania UDOM jamani mbona majanga - tunaomba ufafanuzi

    Hahaahh umenichekesha sana mkuu, waache watajiajiri vijana
  6. A

    JamiiForums Tanzania Makato ya NMB Bank to Tigopesa yamenishangaza!

    Habari za mchana wadau, Kwa muda sasa nlikua sijawa na uhakika na makato ya Nmb kwenda tigopesa, lakini leo nimejionea maajabu. Nilikuwa na shilingi elfu tano na shilingi kadhaa kwenye akaunti lakini cha ajabu ni kwamba nikashindwa kununua vocha ya tigo ya 1500/= kwa madai kwamba salio...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Je nani wa kulaumiwa usipofikishwa?

    Hahahaa hio g sport ya kiume inapatikana wapi[emoji23]
Back
Top Bottom