Umeongea point bro,,, siipendi ccm,,,, lkn kwa lowasa big no,,,,, Huwezi kuwakabidhi nchi majambazi,,,, nyuma ya lowasa wako wafilisi wa nchi hii,, rostam Aziz,,, nazir karamagi,,, ndio wanaomtengea kila kitu mradi awe rais ili watambe,,,, kikwete sio mjinga kumchinjia baharini mkubwa mwenzie...