anko kazoa
Member
- Jul 14, 2015
- 10
- 4
Ki ukweli chadema mmetusaliti watanzania
Kama mods hamtojali...acheni wadau wajadili!!!
Kisa cha au ridhaa ya Tundu lissu kukubali lowassa ahamie Chadema na kupeperusha bendera ya urais ni hiki hapa.
Lissu anaamini lowassa hatadumu madarakani zaidi ya miaka mitano...probably kutokana na uzee au ugonjwa!
Hii ina maana Chadema itaingia kwenye Dola kwa kutumia 'nguvu' ya lowassa na baadaye kujiimarisha kwa kumtumia mgombea mwingine wa Chadema!
Lissu anaona ni vyema kuuonja ufalme wa dola hata kama ni too risky!!
Hapa lissu anayameza matapishi kwa mantiki hiyo tu!
Kwa upande wa Dr Slaa nadhani mmeona kuwa ni mla nadhiri kali!lakini pia alitaraji utaratibu flani ufuate ili kupunguza impact ya ujio wa lowassa waliyemuita fisadi mkuu(naomba samahani kama nimemuwekea maneno mdomoni hii ni kadri nilivyoelezwa na kuobserve)
Kwa ufupi hii ni crtical situation kwa Chadema...yaani ni kamari hatari mno.
Tusubiri tuone kama Chadema itatoka salama.
All in All bado naiheshimu na kuitegemea system kutuvusha salama!
Ni mimi Jackbauer !![/QUOTE
Historia hii inanikumbusha hadithi moja.
Basha anamwambia ------: Nitakukaza,
------: Utanikaza nyuma au mbele?
Basha: Uamuzi ni wangu.
------: Basi fanya haraka.
Lowasa Rais wa jamuhuri ya mafisadi tanzania
Lisu ana uhakika lowasa atakufa baada ya hiyo miaka 5? Hapo ni ukweli afya yake imedorora sana.
Hivi ni kweli Dr slaa kajiuzulu?
all in all ccm have to go.Hili dudu ccm limetutesa miaka mingi
Ki ukweli chadema mmetusaliti watanzania
Kama mods hamtojali...acheni wadau wajadili!!!
Kisa cha au ridhaa ya Tundu lissu kukubali lowassa ahamie Chadema na kupeperusha bendera ya urais ni hiki hapa.
Lissu anaamini lowassa hatadumu madarakani zaidi ya miaka mitano...probably kutokana na uzee au ugonjwa!
Hii ina maana Chadema itaingia kwenye Dola kwa kutumia 'nguvu' ya lowassa na baadaye kujiimarisha kwa kumtumia mgombea mwingine wa Chadema!
Lissu anaona ni vyema kuuonja ufalme wa dola hata kama ni too risky!!
Hapa lissu anayameza matapishi kwa mantiki hiyo tu!
Kwa upande wa Dr Slaa nadhani mmeona kuwa ni mla nadhiri kali!lakini pia alitaraji utaratibu flani ufuate ili kupunguza impact ya ujio wa lowassa waliyemuita fisadi mkuu(naomba samahani kama nimemuwekea maneno mdomoni hii ni kadri nilivyoelezwa na kuobserve)
Kwa ufupi hii ni crtical situation kwa Chadema...yaani ni kamari hatari mno.
Tusubiri tuone kama Chadema itatoka salama.
All in All bado naiheshimu na kuitegemea system kutuvusha salama!
Ni mimi Jackbauer !!
cc: Pasco
Mkuu, Lissu mwenyewe aliyesema hayo au ni wewe tu umetunga maneno yako na kuyafanya kuwa ya Lissu? Unaweza kutupatia ushahidi?
Ccm mmezidiwa ujanja.
Mlimkata mamvi wenyewe sasa mnajionea.