Recent content by Anithape

  1. Anithape

    Engine na gearbox za scania 124

    Naombeni kujua bei ya engine and gearbox mtumba za scania 124. Kuna mtu anataka kuniuzia lakini naona anataja bei kubwa kuliko nilivyoelekezwa na fundi wangu.
  2. Anithape

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Kiongozi, umewahi kufanya biashara na taasisi za kibongo? Unawauzia huduma yako leo, wanakulipa baada ya mwaka mmoja
  3. Anithape

    Ahadi za Rais Samia siku zote ni za matumaini, Katiba Mpya inakuja

    Usimuamini sana mwalimu Nyerere. Yeye ndiye aliyefuta mfumo wa vyama vingi. Lakini akafanya ujanja ili akumbukwe kama vile yeye ndiye aliyeleta mfumo wa vyama vingi.
  4. Anithape

    Uwezo wa suzuki carry (kirikuu)

    Nikibeba nusu tani, mifuko 10? kirikuu kitakufa?
  5. Anithape

    Uwezo wa suzuki carry (kirikuu)

    Nimenunua kirikuu cha kugangia njaa mjini hapa. Lengo langu nataka kinitumikie japo miaka 2. Nawaomba ushauri, nikibebeshe maximum kilo ngapi? au gunia ngapi za mahindi? Asanteni
  6. Anithape

    GE2020 Linapokuja suala la kuiondoa CCM madarakani, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ni kikwazo

    Mbona dada zenu wote wanaondoka shamba huko kwenu wanawapekea nyama wanaume wa dsm?
  7. Anithape

    Kwa wajuzi wa Tractor za Massey 290 au 385 ipo bora kwa kulimia

    Huwezi kupata trekta ya maana kwa milioni 20. Ingawa unaweza kupata trekta ndogo MF135 kwa 14 Milioni. Lakini hiyo ni trekta ndogo sana na haiwezi kuvuta jembe la disc 3. Mara ya mwisho niliyakuta pale roundabout junction ya Kawawa Road na Kigogo. Kama unatokea Ilala, ukifika Roundabout shuka na...
  8. Anithape

    GE2020 Askofu Gwajima kugombea ubunge Kibiblia atafakari upya kama mtumishi wa Mungu

    Wengi sanaaaa, tena waumini wake wa kike wameongezeka mara 12 baada ya kuwaonesha umahiri wake wa kuwakatikia huduma za kiroho na kimwili chumbani.
  9. Anithape

    Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

    Zambia, Zimbabwe, kenya, cameroon, comoros, senegal, ivory coast, gabon, ghana, lesotho, etc Zote zimo kwenye huo uchumi wa kati tunaojivunia. Lower middle yaani nchi haipo kwenye nchi zinazohitaji msaada wa dharula
  10. Anithape

    Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

    Je nikiwa na gari yenye configuration hiyo ya 1:2, lakini GVW ya gari ni tani 7.5, Jee gari hiyo pia mwisho wake kubeba ni tani 18?
  11. Anithape

    Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

    Kwahiyo tani 10 ndiyo mwisho mwa single diff? Jee kama una DAF LF truck yenye GVW 12 tonnes, nayo pia huruhusiwi kuzidisha tani 10? naombeni elimu hapo, wanaojua mambo ya mizani
  12. Anithape

    Baba wa Taifa na Mizengwe - Makala ya Askofu Bagonza

    Hivi Harrison Mwakyembe na Paramagamba Kabudi wamesoma chuo gani na enzi zipi?
  13. Anithape

    Madalali wa kwenye mazao ni wauaji na wezi

    Nawe toka shamba ukae bize na tecno yako
Back
Top Bottom