Watoto wangapi wana ipods?
Tatizo la gadgets mashuleni, jamani watoto wa Tanzania wanaenda shule na njaa, hawana ada, miguu peku, hawana vitabu, we unaongelea ipods? Ndio maana mimi siwadhihaki waliofeli kwa sababu si wote wamefeli for luck of effort. Hamjui mazingira wanayosomea, hamjui kwa...