simba ramadhan
Senior Member
- Apr 5, 2016
- 123
- 47
Eti njaa akilini;hivi ww na yeye mwenye njaa nani?Mwenzio hata akistaafu leo uhakika wa kushiba hadi mwisho wa maisha yake anao.Ni Kweli majaji wote wa Tanzania hawakuwa na furaha na uteuzi wa kujuana wa huyu Bwana! Alitoka alipotoka, walimtegemea nguli wa sheria na majaji waliobobea waongoze na kupewa ujaji mkuu! Anatakiwa apumzike maana mahakama imekuwa kama ime paralyse kwa miaka yote aliokuwepo! Hakubaliki na hana weledi ulee unaokubalika yeye ni kujipendekeza kwa wakubwa kwa maslahi yake! Sheria iko wazi na mapungufu yake anajitoa akili uzeeni kwa kuweka njaa akilini! Aibu
Hoja hapo ingekuwa vinginevyo na sikumtuhumu JM eti ananjaa.Vingenevyo,ni kinyume chake.