Recent content by Angel Simeon

  1. A

    Unene wa mke wangu unamuweka matatani

    Ni unene wa kula, kilo 2 za kitimoto kila siku si mchezo, mwambie afanye mazoezi aache ubishi, apunguze kula sana.
  2. A

    Mwanaume anaepetipeti VS Mwanaume mtundu kitandani

    Anaepetipeti, anaweza kukupa maneno ya mahaba tu mpaka ukajikuta haupo tena kwenye balance.
  3. A

    Samahani mke wangu

    Michepuko wapo kukuharibia ndoa yako, mrudie mkeo na watoto, muombe mungu akusaidie.
  4. A

    Kwanini wanawake hujibinua wakati wa kupiga picha?

    Style ya mtu anavyotaka mwenyewe, sio nani amuone.
  5. A

    Utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa?

    Mwanaume akitoka nje ya ndoa kuna sababu, wengine hulazimishwa na wake zao, kwa sababu wengine hunyimwa haki zao za ndoa.
  6. A

    Wanawake wenzangu, mnatumia mbinu gani ili muweze kuhongwa na wanaume?

    Unatutia aibu mwanamke mwenzetu, utakaa kutegemea kuhongwa hadi lini? Nguvu unayo, fanya kazi kula kwa jasho lako, vya bule vyaumiza.
  7. A

    Nimeombwa hela ya kusukia

    Umelianzisha mwenyeweeee, komaa kaka.
  8. A

    Usikate tamaa katika maisha

    Yeah Mungu ndo kila kitu, katika maisha.
  9. A

    Nisaidieni, baba wadogo hawataki nisome wanataka niolewe

    Mshirikishe mungu kwa yote, hakuna lisilo wezekana kwake, elimu ndo kila kitu,baba wadogo wasikuharibie maisha.
  10. A

    Sipati haki yangu ya ndoa, tokea mke hajajifungua hadi sasa

    Jitathimin wewe mwenyewe labda wewe ndo umekua chanzo cha aya yote, na njia nyingine washirikishe wazazi wa pande zote mbili, na ata wazazi wa kiroho.
  11. A

    Wanafunzi sita watimuliwa shuleni baada ya kukutwa kwenye danguro wakifanya ngono

    Ni kweli wameongeza tatizo, pasipo kutatua tatizo.
Back
Top Bottom