Recent content by Angaumangini

  1. Angaumangini

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Siha Kilimanjaro Idara ya Elimu Msingi nije Temeke Dar-Es-Salaam au Mkuranga Pwani
  2. Angaumangini

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl habari kama ujawahi kupata mtu wa kubadilisha njoo Siha Kilimanjaro nije Mkuranga Pwani Idara Elimu msingi
  3. Angaumangini

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Siha Kilimanjaro ni karibu sana na Arusha jiji nije Dar es Salaam
  4. Angaumangini

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Aje Siha Kilimanjaro ni karibu sana na Arusha jiji Mimi nije Dsm
  5. Angaumangini

    Asali ni zaidi ya utajiri

    Hii kitu ni nzuri sana ukiifanya kama project ila ukifanya kimazoea hamna kitu
  6. Angaumangini

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Raha ya milele umpe eeh bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Angaumangini

    Spika Ndugai adai kuwa wapinzani wamewajaza watu wao mitandaoni ili wawatukane viongozi wa serikali!

    Nae ajaze wake kwani kanyimwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Angaumangini

    Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe augua, ashindwa kufika mahakamani

    Pole sana ndugu tunakuombea urudi uraiani kuyakabili majukumu yako Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Angaumangini

    Mtambo Mpya wa Ufuatiliaji Mawasiliano nchini (TTMS): Kwanini sasa? Nini kipya?

    Tunasubir hotuba ya mwenye nchi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Angaumangini

    Tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa yanayokaribiana na bei ya trekta jipya

    Hii biashara ninaipenda mnoo ila ninatamani kupata mkopo wa Massey Ferguson 275 au 290 used.
  11. Angaumangini

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Nimegundua tunakufa na tai shingoni kumbe fursa ni kuhangaika katika maisha ya kila siku.
  12. Angaumangini

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    0719900072 naomba mniadi nipate elimu zaidi ya ufugaji huu
Back
Top Bottom