Andiko lako limekaa powa sana. Ila nasikitika waTz wengi sio mambo wanayoweza kufuatilia sna issue kama hiz. Apo ungeandika.kuhusu Piere liquid au siasa au mpira au udaku wowote ungeona nyuzi imeshehen ma likes na makoment yakumwaga.
Umeniongelea mimi kabisa yani. Na kama ni hivo hawa introvert wamegawanyika. Mimi nahisi nipo katikati. Yaan nikiwa na rafiki basi anakua ndio huyohuyo na ni ngum kupata rafik mpya au kwa haraka. Ingawa sijitengi sana ila huwa napenda kuwa sehem tulivu mara zote hta mpira sipendagi kuangalia...
Huku tungeyafanya hayo wangetuambia tunakiuka haki za kibinadamu. Wangetufosi hadi tungekuwa tushaibadilisha sheria hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Suluhisho ni kizifanya taasisisi zote na mashirika yote na kazi zote ziwe na ujira mzur na unaolingana kwa level flan ya elimu. Haya mambo ktk hiz taasisi ynaweza kupungua. Unakuta jamaa mmesota wote dawat moja na kakupga sna chabo, ushamuonesha sna solving zako. Mnamaliza chuo Alafu wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.