Recent content by andythelast

  1. andythelast

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    wataalamu naomba msaada,nashindwa kuconect network nimejaribu japo sio mtaalam ,ni redmi note 4
  2. andythelast

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Njombe mkuu,ndo nimenunua hivi juzi tu je nifanye settings gani au vitu gani vya awali kabla ya kuanza kuitumia.
  3. andythelast

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Nami nashukuru sana kwa uzi huu hasa mzee Kilangi masanja ambao umenipelekea na mimi kuvutiwa na hizi simu na jana nimepokea simu yangu ya redmi note 4 4gb ram 64 GB ROM (thanks to Mwl.RCT) baada ya wiki kama tatu hivi baada ya kuagiza maana niko mbali kidogo,sasa nami naomba mnipe maujanja...
  4. andythelast

    Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

    Wapi group la Iringa au Mbeya wakuu?
  5. andythelast

    Tujadili Elimu inayoweza kupatikana kwa kutumia mitandao

    Kuendesha gari aina ya manual,playing guitar,Piano hizi nilijifunza from scratch na naendelea kujifunza Vingi tu
  6. andythelast

    Tatizo la meno kufa ganzi na chanzo chake

    Ni ipi hiyo dawa,iweke hapa isaidie wengi ndugu.
  7. andythelast

    Tatizo la meno kufa ganzi na chanzo chake

    Pole sana miss S bado naendelea kutafuta suluhu pengine ntapata.
  8. andythelast

    Tatizo la meno kufa ganzi na chanzo chake

    Ni ipi hiyo dawa,iweke hapa isaidie wengi ndugu.
  9. andythelast

    Tatizo la meno kufa ganzi na chanzo chake

    Ni ipi hiyo dawa,iweke hapa isaidie wengi ndugu.
  10. andythelast

    Msaada credit card ya kianzio kidogo

    Nami naomba kuuliza zaidi,hivi nikiwa na card ya debit card ya NBC visa card ya kitanzania naweza kufanya manunuzi online,nafanyaje fanyaje hii?
  11. andythelast

    Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

    Leta maujanja hapa acha maneno mingi
  12. andythelast

    Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

    Duh,kwa hiyo hapo hamna namna nyingine ya ku-trick enhee? mi kuna site nimeona wanalipa kila unapo-download na ku-install toolbar yao sasa nikaona kama ni hivyo siwezi kuwa na-download alafu na unistall kisha nabadili IP adress then na-download hivyo hivyo mara kadhaa kwa siku alafu naingiza...
  13. andythelast

    Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

    Habari zenu wadau,mi nina wazo (pengine ntakuwa nakosea maana sijabobea kwenye mambo ya IT). Kwa mfano mtu ukiwa na blog na tuseme google adsense (pengine na mitandao mingine kama ipo) wanakulipa kulingana na watazamaji watakavyokuwa wengi kwenye blog au website yako,sasa je siwezi kufanya...
  14. andythelast

    Tatizo la meno kufa ganzi na chanzo chake

    Nashukuru kwa ushauri ndugu,ila pia kuna jino nimeziba nahisi pengine ni hayo material ndo yanaleta hivyo vitu,au wasi wasi wangu tu?
Back
Top Bottom