Recent content by andy mchokozi

  1. A

    digital, digital camera bei sawa na bure..

    kaka umenisoma vibaya,nimeteleza kidogo kwakuwa natumia cmu anyway sijaanza kutoa thread leo
  2. A

    digital, digital camera bei sawa na bure..

    jamani tubadilike hvi kweli unashindwa kujua laki 50, haya ni, 150,000 umelizika mkuu
  3. A

    digital, digital camera bei sawa na bure..

    itafute kwnye google utaiuta hapo
  4. A

    digital, digital camera bei sawa na bure..

    unahitaji digital camera.. megapixel 10.1 zoom 3* memory card 1gb aina. GE Bei yake laki 50 kwasababu betri utanunua mwenyewe.. ukichelewa leo hupati tena.. 0713133633
  5. A

    Natafuta nyumba ya kupanga

    ipo tbt lakin kwa sh. laki 350 na inaanzia miez 6
  6. A

    Nyumba inauzwa katikati ya Dar kwa bei cheee.

    kaka kama uko seriaz ni Pm ntakuelekeza hadi mtaa na hata picha c unajua madalali wengi.
  7. A

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Siku 4 tu zimepita tangu azikwe msanii na nguli wa filamu hapa bongo Steven Charles Kanumba, sasa magazeti ya udaku hapa Dar tena yale ya Shigongo yamekuja na taswira ambayo ni mbaya na ya kumkejeli marehemu mpendwa wetu Steven Kanumba. Gazeti la Risasi la leo tarehe 14 limepambwa na picha...
  8. A

    Nyumba kubwa yakisasa inapangishwa bei sawa na bure

    kaka bei inapungua, kama uko seriaz tuwasiliane namba hizo
  9. A

    Nyumba kubwa yakisasa inapangishwa bei sawa na bure

    litapwasi ndo wapi kaka?
  10. A

    Nyumba inauzwa katikati ya Dar kwa bei cheee.

    Ipo Ilala, iko barabarani kabisaa, nyumba kubwa inavyumba 6 na vyumba vya uani 5.. Na eneo linabaki. Bei milioni 500 bei inapungua, mawasiliano.. 0713133633
  11. A

    Nyumba kubwa yakisasa inapangishwa bei sawa na bure

    inapatikana tabata bima opposite na st.mary. ni self container yenye vyumba 4, unaweza paki gari hata 5, ina uzio mkubwa na bado mpyaaaa, bei yake ni sh. laki 4 na unalipia miezi kuanzia 6. haina dalali. 0713133633
  12. A

    Sony ericsson XPERIA 10i yaku tachi tu haitumii batani nauza bei sawa na buree

    dah kaka nikupe kwanza pole kwani imeshagombaniwa kama njugu vile.. yenyewe ni 2.5 ft screen siyo ya ku slide. internal battery inakaa muda mrefu zaidi. imeshauzwa tayari, sory man
  13. A

    Sony ericsson XPERIA 10i yaku tachi tu haitumii batani nauza bei sawa na buree

    kumbuka ni ile mini, yan ndogo kuliko zote
  14. A

    Sony ericsson XPERIA 10i yaku tachi tu haitumii batani nauza bei sawa na buree

    kumbuka ni ile mini, yan ndogo kuliko zote
  15. A

    Sony ericsson XPERIA 10i yaku tachi tu haitumii batani nauza bei sawa na buree

    haina tatizo hata 1 na mimi nauzia shida mwana, si unajua kitu cha kupewa kinavyotakiwa ukithamini? naipenda sana lakin matatizo ndio yamenifanya niuze.
Back
Top Bottom