Recent content by Andy Da Inc

  1. Andy Da Inc

    Mgawanyo wa mali za familia baada ya mume na mke kuachana [sehemu ya 2]

    Mmmmmhhh kwann isipigwe mnada,tulipe deni bank na hela iliyobakia iingie ktk mali ya mgao,au sheria ndo inasema hvyo?
  2. Andy Da Inc

    Mgawanyo wa mali za familia baada ya mume na mke kuachana [sehemu ya 2]

    Je ikiwa mme ana gari ambalo limetokana na mkopo,na bado mkopo anakatwa ktk mshahara waje,je hilo gari litaingia ktk mali ya kugawana ilihali unakatwa mkopo mme?
  3. Andy Da Inc

    Msaada wa haraka kuhusu tatizo la nyufa ukuta wa nyumba

    Itasaidia,fanya hvyo Uko katavi sehem gan?,
  4. Andy Da Inc

    Msaada wa haraka kuhusu tatizo la nyufa ukuta wa nyumba

    Pole sana ndugu,nam n mkazi wa katavi mwenzio, Iko hv unapotaka jengo lako lisiwe na shida km hzo n kufata ujenzi wa kisasa na kitaalam, 1.Ukichimba msingi,mwaga zege hafifu jpo la nch 3 au 4,hii inasaidia km utajenga kuta za msingi either n tofali choma,block au mawe yabebe mzigo sawa kote...
  5. Andy Da Inc

    Je, ni lita ngapi za petroli kwa gari toka Dar - Sumbawanga?

    Ungetuambia pia namna ya uendeshaji wako maana consumption ya mafuta pia inachangia na spidi yako,unataka rpm mwsho ngap isome,brake zako je n za mara kwa mara, Hvyo vinachangia kujua utatumiaje mafuta mfano,ukipiga spidi 120 max,rpm below 4 na hutokuwa na hali ya brake za mara kwa mara utatumia...
  6. Andy Da Inc

    Ushauri please subaru forester xt 2010

    Nunua hyo gari hutojutia,mm ninayo now n mwaka wa pili,wengi hapa Tz wanaamin Toyota ndo gari nzuri,kisa tu spare za magumashi zko nying na bei chee,Subaru kwang n best car kuanzia consumption ya mafuta,comfortability,stability na uchanganyaji wake,tunaiita "SUBIE NATION,COMFIDENCE IN MOTION"
  7. Andy Da Inc

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Kizazi,na na-appreciate hustle zako
  8. Andy Da Inc

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Wew si wa kiume mbona una maneno km wa KE,kuwa mstaarabu
  9. Andy Da Inc

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Anaingia ktk browser anatafuta site za ajira hapa Tanzania,ambazo zinatangaza ajira mbali mbali,ktk makampun n bora apeleke CV mkononi yaan aende ktk ofisi za kampun hata km hawajatangaza uhitaji wa kuajiri huwez jua bahati ya mtu,na apitie ktk site
  10. Andy Da Inc

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Unavutia Ngoja wenye connection wakucheki
  11. Andy Da Inc

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Kwa hyo n bora akae tu na asubirie watu wa JF wampe connection ya kazi,ndgu iko hv binafc nmehangaika the same route mwaka mzima ndo nikapata kaz ya site from there nikaanza kutafuta kaz ya kudumu na tija,but mwanzon hatuangalii hata km mshahara mdgo tunapambana,sasa unaposema sio rahisi hvyo...
  12. Andy Da Inc

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    We are on the same field,but nna degree, Muhimu tembea na bahasha(CV's) peleka ktk makampun ya ujenzi ya hapo Dar,anzia njia ya coca cola pale mwenge,tembelea site mbalimbal uoneshe nia ya kazi,then website za ajira,utafanikiwa tu,nakuombea hilo
  13. Andy Da Inc

    Nahitaji marafiki

    Bree uko poa lakn?,
  14. Andy Da Inc

    Ipi nzuri kati ya Kluger na Forester?

    Iko kiti mnachozungumzia n kipi?,natumia forester 2008 ila sikioni iko kiti,maana hv viti vina option ya kuvipandisha kwa juu au kushusha kwa jins utakavyo,ok fine let say huzipend subaru forester,but concern ya kiti,consumption ya mafuta na uimara sio wa kulinganisha kluger,ujue kuna watu...
Back
Top Bottom