Kabisa, hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa mabilioni huku tume za mchongo zikiwa na matokeo nyumba ya pazia, bora turudi tu kwenye tawala za kifalme, demokrasia haituiwezi.
Mambo ni yaleyale tume za kimkakati kwa maslahi ya watawala na kivuli kiitwacho uchaguzi kuhadaa umma huku matokeo yakiwa yamepangwa nyuma ya meza
Ifike mahala nchi zetu hizi za dunia ya tatu ziheshimu kura ya mwananchi katika uchaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.