Kwa anae jua nna cmu yang Vodafone 7min ilkua ina smubua kweny camera nika jarbu ku i reboot ss nangaa ina sumbu inatak ni andike email nimeiandka lakn imekataa kufnguka badala yke ina niambie nisubir mpka ma saa 24 yapit ,sas inaweza kukubal iki flashiwa au itakataa?
Sent using Jamii Forums...
Samahani jamani
Kw anaye jua, simu yangu hiyo ni vodafone min 7 sasa ilkua inasumbua kwenye camera nika jaribu kui-reboot.
Sasa nashangaa inakuja hivyo kila nikiweka email yangu inasumbua inasema nijaribu baada ya masaa 24, sasa hivi nikipeleka ku-flash itakubali?
Sent using Jamii...
Nime maliza four 4 na nme apply nacte coz ya nursing , nna c ya biology, d ya chemistry ,d ya physics afu math nna f iv ntachaguliwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.