Nakumbuka mwaka jana nlitoka out na mdada nliekua nikimtamani siku nyingi, ila cha kushangaza toka tunakutana cha kwanza ananiambia yupo period, nikasema sawa mm nia yangu ni tujuane tu, tumeenda restaurant moja agiza msosi, story toka tumekaa mpaka tunasepa ni anaongelea period yake, mara damu...
interview yangu ya kwanza ilikua kwenye NGO , tulikua watu watano na walitaka watu watatu, nilikua najuana na watu watatu kati ya hao tano, na ndo tuliopita after 3 days tukapewa hadi job offer letters, wakasema watatuambia lini tukareport kazini, tulikaa miezi na miezi tukajasikia tu mbona watu...
Sidhani kama wame irelease full, ila ukiwa na windows 10, na kama your laptop ina meet requirements, ukiiupdate unatoka windows 10 to 11 automatically
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ngoja tusubirie ndoa yao, maana kwenye comics ndo wameoana wale itakua balaa
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Nilishawahi itwa kwenye interview yao, niliombaga kazi Feb nikaja itwa March mwishoni kwa ajili ya interview.
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Sema Stephen aliumia sana pale kwa Christian in every universe jamaa anahangaika kumpata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Hii systems yao bado ni changamoto, kila niki refresh inaleta picha za watu wengine, na details zao, nime upload kila kitu, ila hakionekani toka jana mpaka sasa.
Kama alizaliwa without any complications hapa meaning kwamba alilia immediately after kuzaliwa, basi mtoto wako yupo in a normal developmental milestone, usiogope.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.