Shingo ya mtoto kulegea

George Betram

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
4,018
4,909
Habari wanajukwaa?
Mtoto wangu ana miezi mitatu na siku kadhaa, shingo yake bado haijakaza, ukimkalisha anainamisha shingo kwa mbele, yaani anaangalia chini.
Hii hali inanitia wasiwasi, naombeni ushauri nifanye nini ili shingo ya mwanangu ikaze.

Nimeoa, na ninaishi na mama wa mtoto.
 
Habari wanajukwaa?
Mtoto wangu ana miezi mitatu na siku kadhaa, shingo yake bado haijakaza, ukimkalisha anainamisha shingo kwa mbele, yaani anaangalia chini.
Hii hali inanitia wasiwasi, naombeni ushauri nifanye nini ili shingo ya mwanangu ikaze.

Nimeoa, na ninaishi na mama wa mtoto.
mfanyishe mazoezi tu
 
Acha kumt*** MBA mama yake wakati huu maana mi ngunjo yako ndio inaharibu huyo mtoto......just give him a break
 
Habari wanajukwaa?
Mtoto wangu ana miezi mitatu na siku kadhaa, shingo yake bado haijakaza, ukimkalisha anainamisha shingo kwa mbele, yaani anaangalia chini.
Hii hali inanitia wasiwasi, naombeni ushauri nifanye nini ili shingo ya mwanangu ikaze.

Nimeoa, na ninaishi na mama wa mtoto.
Usiwe na wasiwasi mzee. Bado yupo kwenye ukuaji wa kawaida kama watoto wengine kama hakuwa na shida yeyote wakati wa kuzaliwa.

Kwa sababu, mtoto kuiweza shingo kabisa kikawaida hufika miezi 3 mpaka miezi 4. Huo ni wastani. Ina maana watoto watakaoweza ku achieve that goal before 3 month of age na wale watakaoweza ndani ya miezi 3-4 tofauti yao itakuwa ni, mmoja kakua haraka na huyo mwengine kakua kawaida.

Ila hakikisha kutokuweza huko kwa shingo kusiwe kama vile alivyokuwa na mwezi 1 (marked head lag) badala yake anatakiwa awe ameiweza hata kidogo (limited head lag) kwa huo umri wake wa miezi mi3. Otherwise, It's abnomal.
 
Usiwe na wasiwasi mzee. Bado yupo kwenye ukuaji wa kawaida kama watoto wengine kama hakuwa na shida yeyote wakati wa kuzaliwa.

Kwa sababu, mtoto kuiweza shingo kabisa kikawaida hufika miezi 3 mpaka miezi 4. Huo ni wastani. Ina maana watoto watakaoweza ku achieve that goal before 3 month of age na wale watakaoweza ndani ya miezi 3-4 tofauti yao itakuwa ni, mmoja kakua haraka na huyo mwengine kakua kawaida.

Ila hakikisha kutokuweza huko kwa shingo kusiwe kama vile alivyokuwa na mwezi 1 (marked head lag) badala yake anatakiwa awe ameiweza hata kidogo (limited head lag) kwa huo umri wake wa miezi mi3. Otherwise, It's abnomal.
Nimekuelewa vyema mkongwe, mtoto alizaliwa bila shida yoyote. Kwasasa shingo yake imekaza kidogo, ipo tofauti na alivyozaliwa, kwasasa anaweza kuzungusha shingo kuangalia sehemu tofauti tofauti.
Wasiwasi wangu ulikuwa ni kwenye kukaza/kukomaa shingo moja kwa moja, nilidhani miezi mitatu inatosha kwa shingo ya mtoto kukaza kabisa.
 
Nimekuelewa vyema mkongwe, mtoto alizaliwa bila shida yoyote. Kwasasa shingo yake imekaza kidogo, ipo tofauti na alivyozaliwa, kwasasa anaweza kuzungusha shingo kuangalia sehemu tofauti tofauti.
Wasiwasi wangu ulikuwa ni kwenye kukaza/kukomaa shingo moja kwa moja, nilidhani miezi mitatu inatosha kwa shingo ya mtoto kukaza kabisa.
Hiyo ya kuzungusha shingo kuelekea kwenye upande wowote ni goal ambayo mtoto wa miezi 2 anatakiwa awe tayari ameshaifikia.

Jaribu kumlaza kifudifudi (alalie tumbo) kisha umuangalie, anatakiwa aweze kuinua kidevu (kichwa) pamoja na kifua. Hii nahisi ni test nzuri kwa mtoto wa umri huo.
images (5).jpeg
 
Usiwe na wasiwasi atakuwa sawa tu huyo. Mpe tu muda. Ata mtoto wa dada yangu alikuwaga hivyo, lakini ilikuja kusimama vizuri tu.
 
Kama alizaliwa without any complications hapa meaning kwamba alilia immediately after kuzaliwa, basi mtoto wako yupo in a normal developmental milestone, usiogope.
 
Back
Top Bottom