Recent content by andrea.comtomani

  1. A

    Msaada: Natafuta Daktari nasumbuliwa na tumbo limejaa gesi

    Nawaombeni msichoke kunisaidia wakubwa haliyangu nimbaya kiafya. Hata sasiv nimetoka haja ila bado choo kinatoka na dam. Hasa ninapojikamua ndipo matone huwa mengi na maumivu yakiuno yanaongezeka wakuu
  2. A

    Msaada: Natafuta Daktari nasumbuliwa na tumbo limejaa gesi

    Nilienda hsptal pale sahara posit namaduka yasim. Wakanipima choo, dam na mkojo. Majibu ninahoma yamatumbo, na mkojo mchafu. Ila nililipishwa garama kubwasana vipimo 39000, dawa 117000. wamenipa dawanyingi. Aina ya clarithromycin, methonichzil, domperel, na silde. Ila hakuna unafuu kabisa
  3. A

    Msaada: Natafuta Daktari nasumbuliwa na tumbo limejaa gesi

    Asante mku. ila nifanyeje ilhali natumia dozi? Kwan naweza kupimwa huku nameza dawa?
  4. A

    Maswali na majibu kuhusu Ndege inavyofanya kazi

    Mkuu ndege inapokaribia runway inakua na spidi ndogosana. Je mbona haidondoki? Kwan kunapost imeongelea ili ndege ielee angani inahitaji kasi fulani na ikipungua ndege inaweza kudondoka. Hapo naomba ufafanuzi zaidi
  5. A

    Maswali na majibu kuhusu Ndege inavyofanya kazi

    Mku ndege inapokaribia kugusa runway huwa inaenda taratibu sana. Je mbona haidondoki? Kwan kunapost imesema ilindege ielee angani inahitaji spidi flani. Na endapo itapungua ndege itadondoka. Naomba ufafanuzi zaidi
  6. A

    Msaada: Natafuta Daktari nasumbuliwa na tumbo limejaa gesi

    Wakristo bwana asifiwe, Waislam salam alehkum. Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaonisaidia kimawazo na kitaalam. Ninahakika kwatatizo langu huku litapata ufumbuzi kwani kuna madaktari wenyeujuzi uliotukaka hapa Jamii forum. Ninasumbuliwa natumbo jamani. Linajaa gesi sana na linanguruma...
  7. A

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Namtumbo, mtetesi, nakapanya, mvekenyere mandaea, mkutingome, nyegezi
  8. A

    Sababu za mwanaume kumwangalia mwanamke kwa nyuma

    Africa bambataa mkuu. Mzigo ndo mpango mzima. Tena nifahari yamachoyetu wanaume. Ndomaana tunageuka kuyatendea haki machoyetu kikamilifu
  9. A

    Joto la mapenzi

    Mkuu tutirirshie huo uhondo.
  10. A

    Tulianzisha kanisa feki pamoja, anafosi nimuoe, vinginevyo anamwaga mboga

    Wewe endeleza ifekiwako hadi shetani akutiemoyo wakuwafanya waumini wako kile alichokitenda kibwetere
  11. A

    Cybercrimes: Mfanyabiashara kizimbani kwa kuwasifia majambazi waliopora Sitakishari

    Kukosa uzalendo kumemfikisha alipo. Tujifunze kupitia kwake
Back
Top Bottom