Nawaombeni msichoke kunisaidia wakubwa haliyangu nimbaya kiafya. Hata sasiv nimetoka haja ila bado choo kinatoka na dam. Hasa ninapojikamua ndipo matone huwa mengi na maumivu yakiuno yanaongezeka wakuu
Nilienda hsptal pale sahara posit namaduka yasim. Wakanipima choo, dam na mkojo. Majibu ninahoma yamatumbo, na mkojo mchafu. Ila nililipishwa garama kubwasana vipimo 39000, dawa 117000. wamenipa dawanyingi. Aina ya clarithromycin, methonichzil, domperel, na silde. Ila hakuna unafuu kabisa
Mkuu ndege inapokaribia runway inakua na spidi ndogosana. Je mbona haidondoki? Kwan kunapost imeongelea ili ndege ielee angani inahitaji kasi fulani na ikipungua ndege inaweza kudondoka. Hapo naomba ufafanuzi zaidi
Mku ndege inapokaribia kugusa runway huwa inaenda taratibu sana. Je mbona haidondoki? Kwan kunapost imesema ilindege ielee angani inahitaji spidi flani. Na endapo itapungua ndege itadondoka. Naomba ufafanuzi zaidi
Wakristo bwana asifiwe, Waislam salam alehkum.
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaonisaidia kimawazo na kitaalam. Ninahakika kwatatizo langu huku litapata ufumbuzi kwani kuna madaktari wenyeujuzi uliotukaka hapa Jamii forum.
Ninasumbuliwa natumbo jamani. Linajaa gesi sana na linanguruma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.