OMARY OMARY bwana, Baba yake mzazi alikuwa Shekhe mkubwa tu tena Baba yake alikuwa Imamu wa msikiti
Kama unaenda Mikoroshini ukiwa unatokea Magorofani unaenda moja kwa moja mpaka relini.
kama unaenda yombo tuseme, relini mbele kuna uwanja mkubwa unaitwa msoga , pembeni yake kuna msikiti
Baba...
Wakati hapo hapo USA anatumia billions ya dollar kukodisha na kutumia soyuz ya mrusi kwenda kwenye space..kama mrusi cha mtoto mbn huyo mwamba anamtegemea mrusi ili aende kwenye space..
Tokea 2014 Putin anawekewa vikwazo tokea alivyovamia ctimea,alivyoingilia uchaguzi wa us alivyowawekea sumu wale majamaa kule Uk..
Sanctions si suala geni kwa Putin gesi za ukraine zitaenda Russia kufidia
Awali ya yote naomba niwape pole waTanzania wote kwa msiba wa hayati Rais Magufuli.
Edward Lowassa ni muda sijamuona hadharani na kwenye msiba huu mzito, waziri mkuu mstaafu huyu alipaswa kuonekana
Mwezi wa huzuni sana huu tushikamane waTanzania.
==========
Acha longo longo USA ndio wameharibu uchumi wa Venezuala kwa vikwazo lukuki na kuwafanya watengwe na dunia baada ya kuona vikwazo havimtoi madarakani wakaamua kumuua.
R.I.P El Commandante Hugo Chavez
hivi wewe una akili timamu
tokea 2003 hadi 2016 iraq ilikuwa chini ya marekani ilitawalika?
syria tokea ivurugwe na usa ..isis wakuchukua eneo kubwa la ardhi karibia yote ya syria lkn iran na urusi walivyotia maguu syria ndani ya mwaka mmoja syria ilirudi chini ya asad na isis kukimbilia mbali...
nilivyoingia chuo nilikuwa natumia bangi kwaajili ya presentation na ilinisaidia kuperform vizur kwenye kuwasilisha mada mbele ya kadamnasi nilikuwa na overtalking yaani hadi napitiliza
ilinisaidia mpaka sasa hv niko poa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
ma millioni ya Chavistas wanaounga mkono simon Bolivar revolution na wafuasi watiifu wa Hugo Chavez na mfumo wa socialismo wamejitokeza barabarani kuandamana kumsapoti Raisi Nicolas Maduro anayepitia misukosuko mingi hivi sasa.Chavistas hao walilaani vikali USA chini ya Rais Trump kuingilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.