Recent content by Analytiker

  1. A

    Wajerumani wachefuliwa na ufisadi kwenye miradi; Wafadhili wakiondoka Miradi hiyo hufa...

    Hapo kimoyomoyo nadhani alikuwa anajisemea..."Scheiss Regierung"!
  2. A

    tiGO ni mafisadi

    haya mamitandao yanatia kichefuchefu! mimi natumia li modem la VODACOM. Yaani kama mtu umebakiza kama 12 MB data bundle halafu ukafungua blog yenye pichapicha kama ya Issa Michuzi .. mb zote zinayayuka kwa mpigo...! Shit.. yaani ili u browse kwa mda mrefu kidogo inabidi uangalie web sites zenye...
  3. A

    New Business "NETWORKING BUSINESS"

    Hapo kwenye bold nimecheka sana...! Hilo li disk sijui jiwe tulishaletewa hapa home....eti unalitumbukiza kwenye maji kwa muda halafu hayo maji yanakuwa na nutrients za ajabu....! Mimi binafsi natumia bidhaa za GNLD especially za chakula(foo supplements) na kwa kweli afya inaimarika sana....sasa...
  4. A

    Msaada , internet/online business!

    Wanajamvi , nilikukuwa nataka kupata kipato kidogo kwa kutumia Internet lakini bado sijapata wazo zuri la biashara. Nilikuwa naomba kama kuna mtu ana uzoefu au idea nzuri ambayo inaweza kuwa applicable kwa mazingira yetu hapa Tanzania kwa kutumia Internet kupata kipato anisaidie katika hili.
  5. A

    Mbunge wa CHADEMA bi Susan Lyimo atuwakilisha vyema mkutano wa kimataifa......

    Vipi bado haujaenda Somalia kuwa join wenzako(Al Shaabab) kupambana na majeshi ya Kenya?
Back
Top Bottom