Analytiker
Member
- Oct 19, 2011
- 5
- 0
Wanajamvi , nilikukuwa nataka kupata kipato kidogo kwa kutumia Internet lakini bado sijapata wazo zuri la biashara. Nilikuwa naomba kama kuna mtu ana uzoefu au idea nzuri ambayo inaweza kuwa applicable kwa mazingira yetu hapa Tanzania kwa kutumia Internet kupata kipato anisaidie katika hili.