Msaada , internet/online business!

Analytiker

Member
Oct 19, 2011
5
0
Wanajamvi , nilikukuwa nataka kupata kipato kidogo kwa kutumia Internet lakini bado sijapata wazo zuri la biashara. Nilikuwa naomba kama kuna mtu ana uzoefu au idea nzuri ambayo inaweza kuwa applicable kwa mazingira yetu hapa Tanzania kwa kutumia Internet kupata kipato anisaidie katika hili.
 
Wanajamvi , nilikukuwa nataka kupata kipato kidogo kwa kutumia Internet lakini bado sijapata wazo zuri la biashara. Nilikuwa naomba kama kuna mtu ana uzoefu au idea nzuri ambayo inaweza kuwa applicable kwa mazingira yetu hapa Tanzania kwa kutumia Internet kupata kipato anisaidie katika hili.

wazo lako zuri analitk.tungoja wny ujuzi wakushauri ila mi nnachoweza kukwambia inabidi we mwnyw uwe mbunifu km unataka kutumia internet mana siku hizi ubunifu ni mwingi mno mpaka nahisi kuna watu watavuliwa ajira bila wao kujua.nmecome across information zinazowaelezea hawa jamaa wa br solutions na idea yao ni km wamereplace madalalikistyle mana wanadili na almost vitu vingi madalali wanavovunia hela na wameviweka jst on ur fingertips.nafikiri watajitangaza.mi nmesoma kwny habari leo hizo news.so b creative ukitaka kujihusisha na ishu za net.
All da best
 
Uko tayari kujitoa kwa mda gani?? Una mtaji wa shs. ngapi ?? Mfano umeacha kufanya hiyo biashara.....utaendelea kutengeneza pesa??
 
Jaribu kuingia OneGreatMovie
Angalia, sikiliza, then call me ktk 0788002001 au 0655222588 kama unataka kuelewa zaidi. Ni moja ya biashara unayowezafanya through internet.


Wanajamvi , nilikukuwa nataka kupata kipato kidogo kwa kutumia Internet lakini bado sijapata wazo zuri la biashara. Nilikuwa naomba kama kuna mtu ana uzoefu au idea nzuri ambayo inaweza kuwa applicable kwa mazingira yetu hapa Tanzania kwa kutumia Internet kupata kipato anisaidie katika hili.
 
Back
Top Bottom