Hujafanya kosa kuomba msamaha humu japo ni kosa.ulitakiwa uatamie.
Mwanamke
1.Ni mlizni
2.Mshauri
3.Mwombezi wa mume na familia.
4.Msimamia ndoto za mume wake
5.Msimamizi wa malengo na majukumu ya familia.
~Tukisema umuache huta weza maana moyo ulisha penda.nakushauri anza...
Nakumbuka sana morning glory na evening prayer,nilimtumikia sana Mungu,japokuwa wakati mwingine dunia ilinichukua lkn nlikuwa narud harakaa mno.
~Kusoma,kwakweli nlikuwa mvivu sana napenda kusoma kwa discussion lkn pekeangu nlikuwa sisomi.naona ndio sababu iliyonifanya nimtafute sana Yesu
Kwani yy kampikia Mungu chai ya maziwa?anaweza asiolewe akaishia kushushwa nguo tu.ila wa hivo mm hapana kweli tena maana nikiugua akakosa mahitaji tayar ataenda kucheza mechi za ugenini ili apate.
Duuuuh!!kamba ikikatika anaweza kulima?hukukwetu tunasenya kuni atasenya kweli na mikono milain hiyo,atachimba majimbi,changanya utonvu wa ndizi,kupandikiza mpunga na kupalilia?
~Kapendeza lkn hongera zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.