Sawa tunasubiri sehemu inayofuataNipo
Kuhusu Roho,Jinsi ya kuzungumza na WafuSawa tunasubiri sehemu inayofuata
Roho imegomaItakua roho inakataa bado
Mkuu mbona,unaharaka?aliekuambia nimesoma nani?umeona kwenye maelezo yangu nimenukuu neno la mtoa mada?au umeelewaje?KwA MUJIBU WA MAELEZO YAKO NAONA KABISA KUWA ROHO YAKO NI RAHISI SANA KUCHUKUA NA NI RAHISI SANA KUKUTUMIA ROHO TOFAUTI NA ULIYO NAYO.Ili kukupa ushahidi wa hilo.Jiulize ni kwa nini umesoma mpaka mwisho ukaelewa ila ukawa na shaka.Ni kwa sababu kuna mambo mengi ambayo unayabana ndani ya nafsi yako na hilo linawezekana tu kwa kuwa una roho inayoweza kufanya hivyo.Fahamu tu kwamba dalili ya kwanza ya mtu mwenye roho dhaifu ni kumuogopa baba au mama yako hata ukiwa mtu mzima.Kama unahofia watu waliokuzidi umri au wazazi wako basi niko sahii nikikwambia naweza kuiita roho yako hapa nilipo ni ikaja na wewe nikakuacha ukiwa mahututi kwa saa ishirini na nne.
Halafu ww huijui roho yako na wala hujawahi kuiona,na hutakuja kaa uione,unawezaje kuisemea roho yangu?KwA MUJIBU WA MAELEZO YAKO NAONA KABISA KUWA ROHO YAKO NI RAHISI SANA KUCHUKUA NA NI RAHISI SANA KUKUTUMIA ROHO TOFAUTI NA ULIYO NAYO.Ili kukupa ushahidi wa hilo.Jiulize ni kwa nini umesoma mpaka mwisho ukaelewa ila ukawa na shaka.Ni kwa sababu kuna mambo mengi ambayo unayabana ndani ya nafsi yako na hilo linawezekana tu kwa kuwa una roho inayoweza kufanya hivyo.Fahamu tu kwamba dalili ya kwanza ya mtu mwenye roho dhaifu ni kumuogopa baba au mama yako hata ukiwa mtu mzima.Kama unahofia watu waliokuzidi umri au wazazi wako basi niko sahii nikikwambia naweza kuiita roho yako hapa nilipo ni ikaja na wewe nikakuacha ukiwa mahututi kwa saa ishirini na nne.
Shida gani?Raha ya hii mambo ukishaijulia unakuwa na maisha ya amani sana ingawa kuna shida moja kubwa sana
Kweli ww ni ubongokids kwakua huna ubongo wa watu wazima/wakiutu uzima sawa mkuu,uko sawa maana aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.sijaisemea,ila kuna ukweli katika nililosema kwani maandiko yako yamebeba sehemu ya roho yako