Recent content by Anakata

  1. Anakata

    Nimeota nipo nje ya mwili wangu, ndoto hii inamaana gani?

    Hiyo siyo ndoto, ni kitu cha kweli kimekutikea, na ni watu wachache sana ukiwemo wewe hukumbuka na kuelezea hiyo hali. Watu wenye elimu ya Metaphysics watakuja kukujuza vizuri zaidi. Hili jambo lipo na ni la kawaida sana.
  2. Anakata

    Ushauri wenu unahitajika

    Ushauri muruwa kabisa.
  3. Anakata

    Jifunze hili husitapeliwe kama huyu alivyoibiwa milioni 40 benki

    Mifumo ya kibenki sasa hivi hiyo mbinu haifanyi kazi, kwasababu ili muamala ukamilike, ni lazima ujaze au uweke OTP(One Time Password).
  4. Anakata

    How does somebody get drunk?

    Better abstain from alcohol, 1 or 2 shorts cause addiction.
  5. Anakata

    Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

    Ila ni kiwanja kimoja kizuri sana [emoji3]
  6. Anakata

    Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

    Unafahamu kwamba Obotte alifichwa kule Sali? Pogoro ni wasiri wakati huohuo ni wanafiki.
  7. Anakata

    Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

    [emoji23] Wale wamama wanaokuja kuuza vyakula jioni?! Haujaacha mtoto kule wewe?
Back
Top Bottom