Recent content by anaesthetist

  1. anaesthetist

    Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

    Mi ni mnyakyusa ila mbona nimesema wanaume wenye asili ya mbeya. mbeya sio ya wanyakyusa tu.
  2. anaesthetist

    Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

    Nitakuwa mwangalifu hilo lisitokee ila wengine nakula mwenyewe hao wadada.
  3. anaesthetist

    Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

    Dar ndo niishipo, mnyakyusa ila shughuli zangu nyingi nafanya dar, tandika ndo maskani. Huku mkoani nafuata nakuja sababu ya shughuli zangu.
  4. anaesthetist

    Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

    Labda nyota ila mie huwa wananibia hivyo wanawake tofauti. Mkwanja sina, naingiza kati ya elfu 25-30 kwa siku na nina vimajukumu.
  5. anaesthetist

    Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

    Labda ila baadhi huwa nawapitia licha ya kwamba sina mijihela.
  6. anaesthetist

    Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

    Habari ndo hiyo kama kichwa cha habari, lakini ni ukweli mtupu na pia napenda niwahakikishie wanawake sie pale kwa 6 by 6 ni wanyama, tuna pumzi ya mbwa na mikunjo na miguso ya washawasha. Hii nimeambiwa na wanawake wengi ktk maeneo niliyopita hapa tanzania. Nipo songea matalawe kwa wiki hii na...
  7. anaesthetist

    Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

    Simaanishi hivyo. Kila mtu ana uwezo tofauti wa kufikiri lakini mwisho wa siku tunakuwa na mantiki moja. Mtu anasema haamini kwa nini rais anatembea na silaha wakati ana walinzi na anafahamu kuwa tais nae ni mkazi wa dar na kwa wakazi wa dar wote mkuu wa mkoa kaagiza waka hakiki silaha zao...
  8. anaesthetist

    Watanzania, Wakenya, Waganda tuna maumbile ya kiume madogo

    Huu utafiti hapa Tz mbona mi sikuulizwa? Alafu uume wa inchi 7.06? Hicho ni kilema, sio sifa. Ndio maana wale watu warefu dumiani ktk guiness book of records wana matatizo ya kiafya.
  9. anaesthetist

    Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

    Watanzania wengi uwezo wa kufikiri ni majanga. Siamini wanavyofikiria watu humu jf. Kuelimishana na kuwezeshana kufikiri kimantiki bado ni safari ndefu sana.
  10. anaesthetist

    Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

    Jamani ebu tujaribu kufikiri kidogo, tusiwe wavivu kiasi hiki, yeye kama mkazi wa Dar es salaam, alitakiwa aifikishe vipi polisi kwa ajili ya kuihakiki? Au wangemfuata nyumbani kwake ikulu? Kwanza hiyo/ hizo silaha anazimiliki kabla ya kuwa rais, hata Aden Rage anayo, viongozi wengi wanazo...
  11. anaesthetist

    Azam Tv vifurushi vyenu havina mvuto, burudani kwa wote imeenda wapi?

    Pamoja ya kwamba mmetulazimisha kuongeza bei ya vifurushi kwa kutulazimisha tuongeze Tshs 3000/= kwa vifurushi ambavyo wala sio wote tunaovipenda, mmetuboa watu wengi sana. Mlikuja kwa mkwara sana ila naona kama mnaanza uswahili. Nakubali kuwa nyie ndio viongozi wa kuleta manadiliko ktk tasnia...
Back
Top Bottom