Mzee P ashatoa maelezo ya kina sana. Najua nawe Zanzibar-ASP ni mkongwe tu hapa jukwaani ila umeamua kujielekeza vibaya kuhusu Pascal Mayalla . Ukiwa na uwezo wa kumsoma vyema utamuelewa ni mtu wa namna gani kwa mujibu wa mabandiko yake . Hata sogeza sogeza mbele za uvunjwaji mabaraza utagundua...
Kiongozi barikiwa sana kwa elimu nzuri kutoka kwenye kona uliyoina wewe. Nafikiri wenye maono mapana ya mambo haya kila mmoja akichangia toka kona yake mwisho wa siku tutapata jambo zuri sana. Be blessed
Namna ya utendaji wa viwanda ndo unakuwezesha kujua kipo katika daraja gani, mfano vidogo shughuli asilimia karibu 70% vinahitaji nguvu kazi yako , vya kati itakuwa 50% na vile vikubwa 10% ya nguvu kazi yako itahitajika.
Mafuta yanayotoka kwenye viwanda vidogo lita 20 ni kati ya 81k-85k , viwanda vya kati 105k-110k na vile vikubwa 110k-115k hizo ni bei za Singida. Mimi ni mdau katika biashara hii nasambaza mzigo Arusha,Mwanza ,Mbeya na Dar es salaam. Ukiwa na issue ya maswala ya mazao aina mbalimbali ndani ya...
Kiongozi habari yako OKW BOBAN SUNZU
Kama maeneo unayofanyia mradi ni ukanda huu wa kati naomba fursa ya kuja kujifunza wakati mradi ukiendelea. Naomba mawasiliano yako PM tafadhali
Habari za majukumu.
Tafadhalini natafuta namba za simu za kampuni ya PanAfrica ni watengenezaji wa bidhaa za plastiki { Galons } , naomba msaada kwa hilo tafadhalini.
Wasalaam
Habari kwa wote.
Nimeliona tangazo la wizara toka kwa Mh. Mashimba Ndaki , ni fursa nzuri kwa vijana japo wigo umebanwa kidogo maana wamepewa wahitimu wa mafunzo ya mifugo kwa ngazi ya astashahada,stashahada au shahada kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali. Pia ni fursa kwa raiawaTanzania na...
Uchaguzi wa wapi hapo unaweza kutegemea na malengo ya muhusika. Kila mmoja anaweza chagua namba yake na akabaki akishukuru na kumtukuza Mungu . Kama mchaguzi anaona kazi na akaishia kusubiri mshahara ni moja kwa moja bila shaka atachagua namba 1. Kama mwingine atataka kuwa na kazi mkononi na...
Nilishawahi fuatilia kwa kipindi cha nyuma kidogo, mahitaji ilikuwa unatakiwa kudeposit kiasi fulani kwenye account yako ambayo wao watakuwa na uwezo wa kuifikia pia. Hii ni kuonesha kwamba utakapoanza kazi basi nao watakua salama na pesa yao,ambayo wewe utakuwa unaikusanya. Kila wiki utakuwa...
(Kiongozi jaribu kiingia kwenye tovuti ya mamlaka ya hali ya hewa Tanzania kuna taarifa zinaweza kukusaidia , hasa doc yenye kichwa cha habari "
UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU (NOVEMBA, 2020 – APRILI, 2021) " itajibu maswali yako ) .
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.