Mimi huwa naangalia BBC. Huwa wanapatia sana.Nikitaka kujua mvua kama itanyesha huwa naangalia aljazeera saa 12 jioni kipindi cha hali ya hewa. Huwa wapo sahihi kwa asilimia 99.9
Huko kwenu hakuna watabiri wa asili? Hawa TMA huwa wanasubiria mvua ianze kunyesha ndio wanaleta wanachoita utabiri sasa sijui huwa wanatabiri nini
Maisha yanabadilika au ndio nipo nyuma, mbona hii kitu inajulikana kabisa ni mvua za masika zimeanza baadhi ya mikoa, nimestaajabu mtanzania anasubiri aambiwe ndio aingie shambani, ambacho naona ni jukumu la TMA ni kutoa tamko labda wingi au uchache wa mvua msimu huu, ila kwa kipindi ni masika mkuu au naingia chaka??Zamani hatukusubiri vituo mvua ikianza tu tunajua vuli ,masika au za kupandia choroko!
Maisha yanabadilika au ndio nipo nyuma, mbona hii kitu inajulikana kabisa ni mvua za masika zimeanza baadhi ya mikoa, nimestaajabu mtanzania anasubiri aambiwe ndio aingie shambani, ambacho naona ni jukumu la TMA ni kutoa tamko labda wingi au uchache wa mvua msimu huu, ila kwa kipindi ni masika mkuu au naingia chaka??