Rafiki yangu anasumbuliwa na tatizo fulani ambalo hakuwa nalo tangu mwanzo anaweza kufanya nini ili kuepuka hii haibu japokuwa kwasasa limekuwa kama janga la taifa.
Anakosa hamu ya tendo la ndoa yaani jogoo kagoma kabisa kuwika, na akijitahidi basi inamulazimu awe kama anajichua kwanza kwa muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.