sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,163
Hiyo ni sauti ya kike hiyo
Wewe ni me au ke?
Wewe ni me au ke?
Pole najua inaumiza lakini kwasababu ushatwambia unampenda kukushauri itakuwa vigumu .Habarini jamani mwenzenu nina mpenzi wangu ninampenda sana ila sasa hivi nashindwa kumwelewa kwani amebadilika sana upande wa mawasiliano amekuwa hanitafuti mara nyingi nikimtafuta hapokei simu nikituma msg hajibu kwa wakati nikimuuliza ana shida gani anasema yupo busy, nikimuuliza ananipenda anasema anaipenda kinachoniuma zaidi ni first love wangu na kumuacha nashindwa naombeni ushauri nifanyaje.
Khaa! Ukikuta hana k?Na utakuta bado hujamgegeda, mbaka ndoa.,
njoo PMHabarini jamani mwenzenu nina mpenzi wangu ninampenda sana ila sasa hivi nashindwa kumwelewa kwani amebadilika sana upande wa mawasiliano amekuwa hanitafuti mara nyingi nikimtafuta hapokei simu nikituma msg hajibu kwa wakati nikimuuliza ana shida gani anasema yupo busy, nikimuuliza ananipenda anasema anaipenda kinachoniuma zaidi ni first love wangu na kumuacha nashindwa naombeni ushauri nifanyaje.