Amugisha
Member
- Nov 7, 2019
- 39
- 18
Rafiki yangu anasumbuliwa na tatizo fulani ambalo hakuwa nalo tangu mwanzo anaweza kufanya nini ili kuepuka hii haibu japokuwa kwasasa limekuwa kama janga la taifa.
Anakosa hamu ya tendo la ndoa yaani jogoo kagoma kabisa kuwika, na akijitahidi basi inamulazimu awe kama anajichua kwanza kwa muda kama wa dk 15 ndo inasimama lakini chakushangaza anasema akianza umeme unaweza kukata akiwa katika mchezo akapoteza mawasiliano, na anashindwa kuendelea bira kufika kileleni na akifauru kufika kileleni ni ndani ya muda mfupi sana ya kufumba na kufumbua anakuwa hwezi kurudia tena mpaka baada ya siku 5 labda tena anasema Shahawa zinatoka nyepesi sana kidogo,
Tofauti na zamani alikuwa hata akiona mwanamke anapita mbele yake anatingisha kitu kinasiamama lakini sasaiv imekuwa shida, nimejaribu kumuuliza kama amekuwa na kasumba ya kupiga punyeto ananambia toka azaliwe ajawahi , na kuusu maisha hayuko vibaya sana kiuchumi anamaisha ya kawaida ivyo sidhan kama ni stress za maisha maana hili kwetu wanaume huwa halitupi shida sana kwani hata wafungwa wanatamani kusex,!
Huyu rafiki yupo mkoa mwigine tofauti na mimi nilipo tumekuwa mala nyingi tukiongea kwa simu ni mala chache tunaonana labda kwa mwaka inaweza kuwa mala moja, baada ya kufikiria kwa kina hili tatizo lake nikakumbuka amefanya tohara akiwa mkubwa kama miaka 3 iliyopita kipindi ambacho tayali alikuwa na familia,
Chakushangaza anasema ameanza kuhisi mabadiliko haya tangu alipofanya tohara naomba kujua je kuna hathari zozote endapo mtu anafanya tohara ukubwani au hivi vitu haviusian kama kuna wataalamu wa haya mambo humu naombeni ushauri nipate cha kumshauri swaiba
Asanteni
Anakosa hamu ya tendo la ndoa yaani jogoo kagoma kabisa kuwika, na akijitahidi basi inamulazimu awe kama anajichua kwanza kwa muda kama wa dk 15 ndo inasimama lakini chakushangaza anasema akianza umeme unaweza kukata akiwa katika mchezo akapoteza mawasiliano, na anashindwa kuendelea bira kufika kileleni na akifauru kufika kileleni ni ndani ya muda mfupi sana ya kufumba na kufumbua anakuwa hwezi kurudia tena mpaka baada ya siku 5 labda tena anasema Shahawa zinatoka nyepesi sana kidogo,
Tofauti na zamani alikuwa hata akiona mwanamke anapita mbele yake anatingisha kitu kinasiamama lakini sasaiv imekuwa shida, nimejaribu kumuuliza kama amekuwa na kasumba ya kupiga punyeto ananambia toka azaliwe ajawahi , na kuusu maisha hayuko vibaya sana kiuchumi anamaisha ya kawaida ivyo sidhan kama ni stress za maisha maana hili kwetu wanaume huwa halitupi shida sana kwani hata wafungwa wanatamani kusex,!
Huyu rafiki yupo mkoa mwigine tofauti na mimi nilipo tumekuwa mala nyingi tukiongea kwa simu ni mala chache tunaonana labda kwa mwaka inaweza kuwa mala moja, baada ya kufikiria kwa kina hili tatizo lake nikakumbuka amefanya tohara akiwa mkubwa kama miaka 3 iliyopita kipindi ambacho tayali alikuwa na familia,
Chakushangaza anasema ameanza kuhisi mabadiliko haya tangu alipofanya tohara naomba kujua je kuna hathari zozote endapo mtu anafanya tohara ukubwani au hivi vitu haviusian kama kuna wataalamu wa haya mambo humu naombeni ushauri nipate cha kumshauri swaiba
Asanteni