Maisha ya ndoa

Maisha ya ndoa

Mwanamke kaumbwa kukueshimu na sio kukupenda heshima ikishuka game limeisha!
 
Kuanza upya vipi kuhusu watoto? Malezi ya watoto (kutoka kwa mama wa kambo?).Niassume ni mkristo pia ukifa utazikwa kama mbwa bila hata ya misa!Things are not simple as they seem.Komaa wewe ni mwanaume wewe ndio msingi wa ndoa,vitu vitakaa sawa ukitaka!
Naelewa ili tuishi kwa Aman basi nirudie tabia yangu ya zamani ili kupunguza maumivu na je nikirudi uko tutakufa kwa maradhi maana kila mtu ataleta kwa muda wake, iman haipo hatuaminian tena, najaribu kuwaza namna tutakavyojipanga ili tuanze upya sipaon pa kuanzia hali ni tete
 
Kuanza upya vipi kuhusu watoto? Malezi ya watoto (kutoka kwa mama wa kambo?).Niassume ni mkristo pia ukifa utazikwa kama mbwa bila hata ya misa!Things are not simple as they seem.Komaa wewe ni mwanaume wewe ndio msingi wa ndoa,vitu vitakaa sawa ukitaka!
Ila nayafanyia kazi mawazo yenu.
 
Back
Top Bottom