Anaweza kuwa mtumishi wa Mungu anayehitaji Roho Mtakatifu kumwongoza kutibu Roho za watu kwanza.Mungu anajali sana mioyo ya wanadamu kumrudia yeye kutoka utumwa mwa dhambi zetu.Mungu anasema utafuteni kwanza ufalme wa Mungu ndipo na hayo mengine mtapewa.Hata hivyo Mwamposa si kama wengine
Takwa la katiba mpya kutoka vyama vya upinzani limeanza lini?Mbona mnalaumu kama msio na kumbukumbu na kama mnazo mbona hamlaumu mamlaka kukalia kimya matakwa ya wananchi ya kuandikwa katiba mpya?
Pia alimshutumu Mbowe bungeni wakati wa mjadala wenye utata wa mkataba wa DP world kana kwamba bandari ni Mali ya Ccm.Lugha aliyoitumia haikuwa ya kiungwana kwa mtu kama Mbowe
Sisi sote tulipokuwa tunao wake tuliamini kazi ya mume ni kupata unyumba kila utakapo na chakula pamoja na kufuliwa nguo nk.Kumbe ndoa ni zaidi ya hayo.Je mnaishije na jirani au mnaleaje watoto.Je mwenzio ni mambo gani anayapenda na yapi anayachukia?Ndoa si kitandani tu
Hongera sana mabinti kwa kuntunza na kumuguza baba yenu.Ingependeza kama serkali kupitia wizara ya Afya kutoa pole kwa msiba wa mtu aliyehudumia viongozi na watu wa kawaida kwa weledi mikubwa.
Kuna tahadhari ya maandishi ya "railway crossing, Kuna honi ya treni inapigwa sehemu hiyo lakini saa Moja usiku taa za engine ya train ni Kali na zinakuwa zimewashwa tayari.Wakati mwingine inakuwa vigumu kama wote walikuwa wamelala
Tatizo ni vyombo vya habari Ili wakurushe hewani na kusikika ni lazima umsifu Rais.Ukizumgumza mawazo Yako tofauti na Rais hata kama ni mazuri,hutasikika na mtu,wanawaogopa wajiri wao ambao pia wanaogopa serikali kufungia vyombo vyao.Ni mfumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.