Recent content by ampliclox

  1. A

    Kosa moja linaposahaulisha mazuri 100 uliyoyafanya: Mkasa uliomkuta Zamaradi

    Kama sio zamaradi basi ni mtu kutoka clouds ..ushindwe kabisa mfyuuu
  2. A

    Kipindi cha Take One cha Clouds TV hakifai kwa maadili, kinatangaza Ushoga

    This issue ni serious kuliko tunavoweza kufikiri
  3. A

    Clouds TV mnatia aibu

    Hahaha ni vipaki kwa kwenda mbele
  4. A

    Huyu mtangazaji wa Azam TV vipi?

    Kashahamia clouds
  5. A

    Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

    Hahaha posho ni tamu sana aisee waliwazaaa wakaona mmh huu mchezo hakuitaji hasira na Sisi tulishapata hasira wakaona wajifarague na kuziba midomo
  6. A

    Swali kwa Clouds Tv: Mbona vipindi vyenu vingi ni kuhoji wasanii tu?

    Hahaha ni genge fulani la wahuni tu hao.vipindi havieleweki,ratiba nadhani inabadilika kila leo...ukianfalia kipindi jnne ya wiki hii next week utakuta kipindi kingine muda uleule...kurudia vipindi ndio kabisa wamezidi wanaweza rudia kipindi hadi ukakariri maneno
  7. A

    Swali kwa Clouds Tv: Mbona vipindi vyenu vingi ni kuhoji wasanii tu?

    Hao jamaa tv inewashinda basi tu wanakufa na tai shingoni...hyshangai wameshindwa kurusha mechi zao za ndondo hata za marudio hadi wanaomba sponser Azamtv...walidhani ni rahisi km radio
  8. A

    Kodi ya Asilimia 10: Kwa kila Tshs 1,000 ya kwenye Miamala, tshs 280 ni za TRA kuanzia Julai mosi

    Nafikili nipewe muda katika hili...au tumuombee awajue kwanza maskini ni watu wa aina gani,huenda katusahau...ni Sisi tunaotoa buki mbili tatu mpesa,na atm...matajiri wanatumia cheques...mkuu tunakuombe katika hili kwanza uzima utakuja baada ya hili naona hapa umefumba macho
  9. A

    Kodi ya Asilimia 10: Kwa kila Tshs 1,000 ya kwenye Miamala, tshs 280 ni za TRA kuanzia Julai mosi

    Sasa naanza kuelewa,sorry kidogo.. hivi alisema tumuombee?
  10. A

    Wadada wa kazi (beki tatu) wanapatikana.

    Wanatokea mkoa gani
Back
Top Bottom