Umeongea vyema mkuu.. Mtu yeyote mwenye mapenzi mema na nchi hii atamsifu na kumpongeza Bashite. Ila waliokuwa na maslahi flani flani kwenye biashara ya ngada, lazima wamuandame jamaa ili kumvunja moyo. Mungu amtangulie RC wetu katika vita hii..
Wivu unakusumbua tu wewe, kama amekopi kinacho kuuma ni nini?, au wimbo alio copy ni wa bibi yako?. Mtu akifanikiwa tu wanafiki mnaanza majunguu, mwacheni dada wa watu bhana a!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.