Recent content by Amoxline

  1. Amoxline

    Nauza simu, aina ni Tecno K7

    Wakuu nauzasimu yangu imetuka miezi miwili tu ,ipokwenye hari nzuri hainatatizo ,bei ni sh,200000 karibuni pm
  2. Amoxline

    Mke mwema huyu hapa

    Habari zenu wana Love Connect, Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect. Hivyo kutokana na hilo nina rafiki zangu wanatafuta waume wa kuanzisha nao mahusiano na mwisho kufikia kufunga ndoa. Labda nisiwachoshe sana, niende kwenye wasifu wao kama ifuatavyo...
  3. Amoxline

    Maneno aliyoniambia mama siku naoa

    Maneno mazuri
  4. Amoxline

    Uliolewa/ulioa ukiwa na miaka mingapi?

    Niliolewa na miaka36
  5. Amoxline

    Nahitaji Laini za uwakala wa Tigopesa

    Wakuu habari zenu , Natafuta laini ya tigopesa kama kuna anayeuza tuwasiliane pm
  6. Amoxline

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    Amekwambia unakibamia mkuu
  7. Amoxline

    Mchumba

    Natafuta mchumba umri kuanzia miaka30-35 Awe mkristo (asiwe sabato) Awe na kazi yakumuingizia kipato. Aliyetayali kuwa mume wamtu na anaejitambua nakujieshimu. Nb.sitaki brah brah njooo pm nautume picha zako first SMS zote zitajibiwa pm Nanyie wenye mapovu ruskaa povukeni. NB: ni binti...
  8. Amoxline

    Nauza tecno w3

    Wakuu nauza simu ainavya tecno w3 kwa shilingi80000 simu bado ipo kwenye hali nzuri haina tatizo aliye tayari ani pm
  9. Amoxline

    Wana Mkoa wa Mara tusipobadilika upesi tutakimbiwa kila uchao na Wanawake na kuishia tu kujichua

    Yaika yaika mwana wasuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom