Habari zenu wana Love Connect,
Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect. Hivyo kutokana na hilo nina rafiki zangu wanatafuta waume wa kuanzisha nao mahusiano na mwisho kufikia kufunga ndoa.
Labda nisiwachoshe sana, niende kwenye wasifu wao kama ifuatavyo...