Dawa waanzishe utaratibu wa kupanga foleni kama wanavyofanya abiria wa Mbezi kwenda makabe au Msumi,daladala likifika mwisho abiria wote shuka wanaanza kuingia waliopo kwenye foleni kupanga ni kuchagua
Kwa sababu kesi zote za jinai Jamuhuri ndio mlalamikaji na muadhika ni shaidi tu,kwa hiyo itoshe kusema tu,mlalamikaji ndiye ndiye aliyetoa rushes kumpooza victim
Ukiona eneo lina swala,pundamilia na twiga kwa wingi jua eneo hilo halina simba na ndivyo ilivyo mikumi pembezoni mwa barabara,nimesha pita na pikipiki Kama mara mbili.
Hata Kama wewe ni dereva mama.yako kakaa kushoto kwa dereva na Kuna ajari ya uso kwa uso ni lazima utalengesha upande aliokaa mama yako ili wewe unusulike hivyo ndivyo binadamu tulivyoumbwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.