Ukiona eneo lina swala,pundamilia na twiga kwa wingi jua eneo hilo halina simba na ndivyo ilivyo mikumi pembezoni mwa barabara,nimesha pita na pikipiki Kama mara mbili.
Hata Kama wewe ni dereva mama.yako kakaa kushoto kwa dereva na Kuna ajari ya uso kwa uso ni lazima utalengesha upande aliokaa mama yako ili wewe unusulike hivyo ndivyo binadamu tulivyoumbwa
Kweli kabisa ni taifa ambalo limeshindwa kwenye kila kitu, hata maswala madogomadogo yametushinda kama upimaji tu wa aridhi na umiliki umetushinda ,uhamiaji
Kwa tunaoishi Manzese au Buguruni ,kuna maharagwe yanauzwa yalikwisha kupikwa na nazi kabisa kibakuli yanauzwa 500.Sasa inakuaje unanua mchele nusu kg sh 1,500 ,mkaa 1,000 unapika wali unaenda unanunu maharage ya 500 Kama hujui basi yale wanayotumi kunywe na chapati asubuhi hiyo jioni kiporo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.