Recent content by Amosi msigwa

  1. A

    Mchepuko kaomba godoro, wapi nitapata kava nzuri za godoro niweke kwenye godoro ambalo silitumii

    Angalia uwezo wa mtu ndugu,unataka siku akimtosa au kumfumania amcharande mapanga
  2. A

    Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

    Huku yapo yakutosha ninayoyajua ni Kama 7 Mimi mwenyewe nilishangaa hadi huku porini Chanika
  3. A

    Msaada: Dar to Iringa na Boxer naombeni uzoefu wenu

    Ukiona eneo lina swala,pundamilia na twiga kwa wingi jua eneo hilo halina simba na ndivyo ilivyo mikumi pembezoni mwa barabara,nimesha pita na pikipiki Kama mara mbili.
  4. A

    UPDATE: Vifo vya Ajali Ngaramtoni vyafikia 25

    Hata Kama wewe ni dereva mama.yako kakaa kushoto kwa dereva na Kuna ajari ya uso kwa uso ni lazima utalengesha upande aliokaa mama yako ili wewe unusulike hivyo ndivyo binadamu tulivyoumbwa
  5. A

    Mwaka 1983 Lowassa alinunua suti pair 10 wakati Nyerere na Sokoine wakiwa na kaunda suti zaidi ya pair tano

    Kweli kabisa,watoto waliozaliwa juzi juzi hawajui kabisa miaka hiyo ya 1980 nchi ilikuwa ina hali gani
  6. A

    tukisema turudie kuhakiki NIDA,PASSPORT na hati za ardhi tunaweza kubaki mdomo wazi

    Kweli kabisa ni taifa ambalo limeshindwa kwenye kila kitu, hata maswala madogomadogo yametushinda kama upimaji tu wa aridhi na umiliki umetushinda ,uhamiaji
  7. A

    Hivi kwanini ujenzi wa makanisa mengi ya KKKT huwa hauishi?

    Shida wanatutishia ukifa hawakuziki kama huna bahasha
  8. A

    Wanawake na Mbwa wa kizungu mtuambie kazi yake

    Sana sana wakiwa kwenye bleeding usiku hakuna haja ya kuvaa ..... Vinanyonya yote hata mchana wanashinda tu nyumbani
  9. A

    Chakula kwa siku Tsh 30,000

    Kwa tunaoishi Manzese au Buguruni ,kuna maharagwe yanauzwa yalikwisha kupikwa na nazi kabisa kibakuli yanauzwa 500.Sasa inakuaje unanua mchele nusu kg sh 1,500 ,mkaa 1,000 unapika wali unaenda unanunu maharage ya 500 Kama hujui basi yale wanayotumi kunywe na chapati asubuhi hiyo jioni kiporo...
Back
Top Bottom