#FikraZangu
Kila neno huwa na matokeo yake aidha chanya au hasi, aidha ya kujenga au kubomoa LAKINI pia kila ukimya huwa na matokeo yake aidha chanya au hasi.
Jukumu letu ni kujifunza wakati gani wa kutoa Neno na wakati gani wa kunyamaza
Mbwa huyu anae julikana kwa Jamii ya Belgianmalinois ni mbwa ambae wanaupekee kwa ulinzi,upendo katik familia pia ni rahisi kufundishika na wananidhamu mno they are the best choice for a guard dog they are available
#SheriaZetu
Kwa mujibu wa Sheria ya Daawa "Law of Torts" - Mmiliki yoyote wa jengo huwajibika kwa kushitakiwa
na kulipa fidia kwa madhara yoyote yanayoweza kuwapata watumiaji wa jengo husika ikiwa
watapata madhara yanayotokana na hitilafu yoyote wakiwa ndani ya jengo husika
MSICHANA wa Kitanzania, Zamana kutoka Kijiji cha Irente Juu, Kata ya Magamba Wilaya ya Lushoto ameshinda tuzo ya Mfalme Charles III wa Uingereza ijulikanayo kama "Prince’s Trust Award".
Tuzo hii ilianzishwa mwaka 2015 na Mfalme Charles III, wakati huo akiwa bado ni mwana wa Mfalme (Prince of...
Kuna wakati Mungu hutupitisha katika Nyakati Ngumu sio kututesa bali Kutufundisha kuhusu nani ni Rafiki/Ndugu wa kweli na nani ni mtu/rafiki wa Nyakati nzuri tu.
Bila kupitia katika Njia hizo za shida pengine tusingeweza Kutambua rangi halisi za Rafiki/ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.