Huu Ndio Ukweli ambao Kirumi imeamua kuuachia katika kipindi hichi cha mfungo wa kwalezima <br /> <br /> Bwana akamwambia Musa, "Tengeneza nyoka za moto, na kuliweka juu ya pole, na kila mmoja aliyeumwa, wakati yeye inaona, wataishi. " Basi Musa akafanya nyoka ya shaba ... <br /> <br /> Hesabu...
Simu nyingi sana zenye android system 6.0 yan marshmll,huwa system yake ya kuruti ni strong sana,,lazima uanlock bootloder sana sana TECNO , ila ukitumia kingroot,kingoroot utachelewa sana kwanza aikubali,
Acheni kukurupuka kama vijana wa sasa , soma kitu kabla ya kukijibu tafakari alaf chukua mda kusoma kama nikweli pesa izo zinatafutwa au laaa..!
Sio unajibu sms chafu chanzo ukijui ..
Mkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.