CCM endeleeni kutukana!.. Maiti, wapumbavu na Malofa wanaendelea kuvua wanachama wenu!... Viva Lowassa Viva!...hata wakisema unakufa baada ya uchaguzi kura yangu utapata maana wao wameambiwa na mungu wataishi milele
Nawapongeza sana wanachama wa chama cha wananchi CUF kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa nakudhihirisha kuwa chama sio cha viongozi bali cha wananchi
Wanachama wa CUF mmeonesha ukovu wakisia pale ambapo mwenyekiti wenu alipo tangaza kuachia ngazi ya uongozi hamjatetereka na mmesema kuwa CUF ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.