Ndugu wadau, mwisho ni tarehe 30/09/2014, nchi zilizokwishatuma maombi ni
"Kenya, Algeria, Ethiopia, Ghana, Mali na Zimbabwe zinawania kuandaa makala ya 2017 baada ya Libya kujiondoa kufuatia kuzorota kwa hali ya usalama nchini humo." Source-BBCSWAHILI-ONLINE.
Wadau mbona sijaona jina la...