Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Zito ndio nini?
kwa hiyo wewe utafurahi jk awe maarufu kuliko ccm? Huo ni unafiki mkubwa!
Nimefuatilia sana picha nyingi zilizowekwa humu JF toka Kigoma wakati wa mapokezi makubwa aliyopewa Mhe. Zitto Zuberi Kabwe.
Cha kushangaza alama za CHADEMA wala sikuziona za kutosha.
Hii inaamnisha nini? Je inawezekana ikawa kwamba waandaaji wa mapokezi yale walisahau bendera na makombati yao ofisini/nyumbani?
Fuatilia picha hizo hapa chini kwa hisani ya: Tema Mate
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nayojiri-kigoma-katika-mapokezi-ya-zitto.html
we tulia tu karibuni utajua sababu za kutokua na alama za chadema katika mapokezi yale. Chama kipya kipo njiani, na ukapenda au usipende, wanachama wa chama hicho kipya nikutoka chadema. Hii ina maana gn? hii ina maana kuwa CDM imemeguka na kura zao za 2015 zaidi ya robo zimeyeyushwa na Zitto. vinginevyo kwa ushauri tu wa kukinusuru chama chenu Mrejesheni Mh. Zitto haraka ktk nyadhifa zake zote bila ya masharti ili kuepusha hali isiwe mbaya zaidi.
moja kwa moja inaonyesha kwamba,sio wanachama wa chademaNimefuatilia sana picha nyingi zilizowekwa humu JF toka Kigoma wakati wa mapokezi makubwa aliyopewa Mhe. Zitto Zuberi Kabwe.
Cha kushangaza alama za CHADEMA wala sikuziona za kutosha.
Hii inaamnisha nini? Je inawezekana ikawa kwamba waandaaji wa mapokezi yale walisahau bendera na makombati yao ofisini/nyumbani?
Fuatilia picha hizo hapa chini kwa hisani ya: Tema Mate
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nayojiri-kigoma-katika-mapokezi-ya-zitto.html