Wapendwa wana jamii, Naomba nifahamu, Nimeitwa kwenye usaili, Nimefanyiwa usaili, Nikaambiwa ningepigiwa simu kujulishwa, Mpaka leo sijapigiwa, Sasa swali langu ambalo nahitaji ushauri, Je? Ninaweza kufuatilia jibu au la?
hamjamuelewa mwenzenu huwa anaing'oa hiyo k ya mkewe anaichemsha kwenye sufuria na moto mkali kuuwa vijidudu, Ama kweli akili ya kuambiwa changanya na yako toa maamuzi ( jiongeze men)
Yaaniiii daaaaa, akitongozwa akimtolea nje anakwambia, yaaaniiii daaaaa akim accept anauchuna hakwambii ana do kweli yaaaaniiii daaaa mkuu chunguza kimya kimya utanipa jibu.
sawa nakuunga mkono, Lakini kumbuka mkuki kwa nguruwe, kwa binaadam uchungu. Kumbuka alipomuacha mkewe akaoa (HG) Mkewe hakuumia, ama kweli tenda wema nenda zako, Na ndio maana mkewe wa mwanzo anamlelea watoto wake. Malipo yapo duniani.
Da pole mwanawane! Inawezekena umefunikwa kwenye chungu, yaani eti''Mwanaume zima unashikashika mikoba ya wanawake we vipi??'' Halafu anakuuliza swali we vipi? Nawe mzee kimyaaaaa. Au mzee una mwezi haujamru kia nini ndio maana anakuuliza we vipi?,
skia; mkeo hana cha kukuficha katika...
Da we kiboko yani siku ya kwanza tu, usha mtia bottle la wine siju umpeleke kwako, Kaa chonjo maisha magumu haya, Akipaona tu tu kesho anakuja na begi lake, Ukimuuliza jibu lake, ''Nahamia digilal'' utamfukuza? Wakati shida yako ilikua kuduchua tu.
Mi nakushauri nenda kamuulize baba ako atakupa ushauri wa maana jinsi ya kupiga story na demu wako, Naamini yeye atakupa ushauri wa maana kwani yeye ndie mwalimu wako wa kwanza kimaisha.
Du, mkuu kwa hiyo wewe ukiona mwizi anavunja nyumba ili aibe utamwangalia tu? Njia za kuzuia uhusiano huo mbovu, zilikuwepo nyingi sana. Lakini pole unapaswa kulaumiwa.
Da ndugu yangu kama nistory ya kweli du; si mchezo wachawi wanafaa kupigwa mapanga sio wa kuwaacha, kama umetunga mzee- --, una-bonge ya talent. Si mchezo. Bonge la mwandishi. BIG UP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.