haaahaaaa na mnakuga kama wajinga some timemmh na mnazikomba kweli pesa zetu...
wee ndio unajua wanawake...huyo analeta nadharia zake hapa wakati practical watu wanaangalia mfuko wako
Akikubali kutoka na wewe kwenda labda dinner au lunch ujue kakubali, jipange na sio maneno maneno. Kwanza uwe na Galaxy III (au HTC One X, ukiweza iPhone 5 umemaliza) na Ki-BlackBerry, mnaongea huku unatelezesha vidole kwenye simu sio mambo ya kubonyeza kipad.
Vile vile ukumbuke kwamba swala la usafiri ni muhimu, sio mtu anaogopa kunywa wine kisa atapanda daladala baada ya hapo! Nani anataka kuyumba yumba kwenye dala dala?
Hakikisha hushangai shangai bili ikija lipa! Muulize kama atapenda kubeba wine ili muondoke na chupa moja la kwake. Sasa muda wa kuondoka kama ni jioni (hiyo ni dinner) muulize kama atamind umpitishe apaone kwako ili siku nyingine akitaka kuja kukutembelea aweze kuja moja kwa moja.
Kwa mbinu hizi chache mzigo ni wako siku hiyo hiyo unamaliza. Digitali haina chenga!
Akikubali kutoka na wewe kwenda labda dinner au lunch ujue kakubali, jipange na sio maneno maneno. Kwanza uwe na Galaxy III (au HTC One X, ukiweza iPhone 5 umemaliza) na Ki-BlackBerry, mnaongea huku unatelezesha vidole kwenye simu sio mambo ya kubonyeza kipad.
Vile vile ukumbuke kwamba swala la usafiri ni muhimu, sio mtu anaogopa kunywa wine kisa atapanda daladala baada ya hapo! Nani anataka kuyumba yumba kwenye dala dala?
Hakikisha hushangai shangai bili ikija lipa! Muulize kama atapenda kubeba wine ili muondoke na chupa moja la kwake. Sasa muda wa kuondoka kama ni jioni (hiyo ni dinner) muulize kama atamind umpitishe apaone kwako ili siku nyingine akitaka kuja kukutembelea aweze kuja moja kwa moja.
Kwa mbinu hizi chache mzigo ni wako siku hiyo hiyo unamaliza. Digitali haina chenga!
Akikubali kutoka na wewe kwenda labda dinner au lunch ujue kakubali, jipange na sio maneno maneno. Kwanza uwe na Galaxy III (au HTC One X, ukiweza iPhone 5 umemaliza) na Ki-BlackBerry, mnaongea huku unatelezesha vidole kwenye simu sio mambo ya kubonyeza kipad.
Vile vile ukumbuke kwamba swala la usafiri ni muhimu, sio mtu anaogopa kunywa wine kisa atapanda daladala baada ya hapo! Nani anataka kuyumba yumba kwenye dala dala?
Hakikisha hushangai shangai bili ikija lipa! Muulize kama atapenda kubeba wine ili muondoke na chupa moja la kwake. Sasa muda wa kuondoka kama ni jioni (hiyo ni dinner) muulize kama atamind umpitishe apaone kwako ili siku nyingine akitaka kuja kukutembelea aweze kuja moja kwa moja.
Kwa mbinu hizi chache mzigo ni wako siku hiyo hiyo unamaliza. Digitali haina chenga!
Vijana mna shida nyinyi? Mambo yote kisha mbunye.. Mi nachoelewa msichana kukukataa labda kama una vigezo,,, first unapotoka, pili cv yako, income kiaina, appearance, hapo hata kama una nokia tochi akukatai...
Maana simu sio zinazompa uhakika wa kuishi maisha mazuri,, atakuangalia wewe as a package,,,,
Da we kiboko yani siku ya kwanza tu, usha mtia bottle la wine siju umpeleke kwako, Kaa chonjo maisha magumu haya, Akipaona tu tu kesho anakuja na begi lake, Ukimuuliza jibu lake, ''Nahamia digilal'' utamfukuza? Wakati shida yako ilikua kuduchua tu.
Sio wote bana!mbona unawaharibia wadada?bado wapo wanaopenda mtu na sio kitu.Hizi swaga siku hizi hawazitaki.
Hela yako ndiyo mapenzi yako.
We jidanganye tu afu umfate mdada wa watu katulia, na mafujo,maswali ya hovyo na makelele huku ukijiaminia na mahela yako uone kama hajakuaibisha mbele ya umati.Hapo ndo utajua ikiwa pesa pekee ndo dawa ya wadada.Hawa wanawake wa sikuhizi dawa yao ni pesa tu hakuna maneno mengi. Hata ukiwa mbaya wa sura lakini ukiwa na pesa unakuwa handsome ghafla na watakuganda kama ruba.Pesa ndo habari ya mjini kwa sasa!!