Recent content by AMKA SASA

  1. A

    Mangula ataja vigezo 13 vya urais: Kama huna pisha wengine

    hivi kwa nini mgombea yeyote wa CCM anapotangaza nia halafu akagusia UFISADI, kila mtu anakuwa anadhani anamuongelea Lowasa??
  2. A

    Tunatengeneza Mabango ya Matangazo

    huna sample na bei zake?
  3. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    uasherati ni nini?
  4. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    vipi Apologise?
  5. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    mkuu Bible imeandika mtu asimuache mkewe isipokuwa kwa UASHERATI, sasa mtu ambaye hana ndoa anakuwaje na mke?
  6. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    uasherati ndo kosa gani?
  7. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    itakuwa mkuu.
  8. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    tatizo nikiwa na wa hivyo bado nitaendelea kutamani wa nje.
  9. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    nimeamini humu tunapotoshana sana.
  10. A

    Wanawake, napungukiwa nini?

    Kila siku naona mijadala humu kwamba heshima pesa, shikamoo makelee, pia mnasema kama huna pesa wanawake wakali utaishia kuwaita shemeji tu. Mimi nina kila kitu lakini wanawake wakali, wenye shape za hatari, walioumbika kwa ile namba 8, waliojaliwa neema za allah kila nikiwatupia ndoano...
  11. A

    Mabinti hebu nithibitishieni hili

    Barua ya kuomba kazi ya mtu asiye na vyeti huwa ni ndefu sana kuliko ya mwenye vyeti, mwenye vyeti anasema tu refer atachment 1, lakini asiesoma anatoa wapi attachment? hapo lazima aseme sana sana ndo aeleweke.
  12. A

    Maofisini huku nako ni zaidi ya ukuonavyo, mambo siku zote ni nje ndani

    Sijui unajiamini nini tu, kila siku unaandika limakala refuuuu, sijui wasomaji unawatoa wapi, au unajua watasoma tu.
  13. A

    Kitabu - Nikope wapi?: Kwa Wajasiriamali

    Natarajia kuingiza kitabu hicho sokoni muda wowote kuanzia sasa, nitakuwa pia nakiuza kama soft copy. Kitabu hicho kimefanya uchambuzi wa aina mbalimbali za mikopo, kimelinganisha na kufanya uchambuzi wa mikopo na riba toka taasisi mbalimbali za kifedha na kutoa mapendekezo kwa wajasiliamali...
  14. A

    Amka sasa nimeingia kuwaamsha

    hujanielewa mkuu, hapa inacholalamika ni ile hali ya kuwa too much kwenye mapenzi tu, watu wanashinda hapa, majukwaa ya maana hata hawaendi.
Back
Top Bottom