Wasomi wanatumia pesa zaidi kuliko maneno
Hawa wasiosoma wana maneno hadi ya reserve
Hhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....mtaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................hence provedhahaaaaaa.. we utakua unantaka.. umezunguka sana mtani ila nimekuelewa.
Hhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....mtaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................hence proved
Je kuna utofauti wowote ukitongozwa na mtu aliyesoma na asiyesoma,akikutongoza na mtu aliyeacha shule akiwa form two na mtu mwenye master yake nani mjuzi wa kuchangisha maneno na mwenye wingi wa maneno.
Tafiti zinasema mwaunaume akiwa na elimu kubwa hupunguza maneno ya kuongea na mwanamke akiwa na elimu kubwa huongea sana.
Barua ya kuomba kazi ya mtu asiye na vyeti huwa ni ndefu sana kuliko ya mwenye vyeti, mwenye vyeti anasema tu refer atachment 1, lakini asiesoma anatoa wapi attachment? hapo lazima aseme sana sana ndo aeleweke.
hahaaaaaa.. we utakua unantaka.. umezunguka sana mtani ila nimekuelewa.
aiseeeeeee
sio wasomi wote wanapesa...
Kikulaacho atakuwa msomi kweli ?? Kama porojo zimekuwa nyingi
Manka saidia tafiti kwa yaliyokusibu, share ulichokiona wewe
Usiwe na shaka mtani.....penzi letu litaendeshwa kwa hisani ya watu wa MAREKANI........wapare mlivyo wabahili sijui kama utakidhi vigezo...
Mimi siyo msomi lakini ni tajiri wa mahaba.........Kikulaacho atakuwa msomi kweli ?? Kama porojo zimekuwa nyingi
hivi kusoma Ndo kuwa na pesa?
anyway Nina muda mrefu sijapata tongozo wajuzi watakuja.
Mimi siyo msomi lakini ni tajiri wa mahaba.........
Kwani kuna mabinti wa kiume.
mkuu nimeguna hapa....
mwanamke
akiwa na elimu kubwa huongea
sana.
Mweeeehhh......haya mtani ngoja niepushe msongamano.....lol... hayo mahaba peleka pwani.. hapa ni ela tuuu