Recent content by amiry123

  1. amiry123

    Allah! Nitangulie

    [QUOTE="amiry123, post: 21042246, HILI LA KUSEMA ETI SINA HOFU YA MUNGU COZ NAFANYA KIWANDA CHA BIA LINAKAJE WAUNGWANA? JE NISIFANYE KAZI AU NIDANGANYE NDO ITAONEKANA NINA HOFU YA MWENYEZI MUNGU? NIMETAFUTA KAZI KILA KONA NA HAPA NDIPO NILIPO PATA NA SI KWINGINE; SINYWI NA WALA SIITAMANI...
  2. amiry123

    Allah! Nitangulie

  3. amiry123

    Allah! Nitangulie

    habari zenu wapendwa! naitwa Amiry Samiry ni kijana wa miaka 29 now kabila langu Mbondei wa Tanga Muheza Dini yangu Muislam.. ninafanya kazi Serengeti kiwanda cha bia Moshi mkoani Kilimanjaro nimejitokeza hapa kutafuta MCHUMBA ambaye nahitaji ajitambuwe na awe tayari kuwa mke wa mtu yaani...
  4. amiry123

    Natafuta hitaji la moyo

    Hamjambo wanajukwaa hili? Nilikuwa nikipitapita wapi nitapata mpenzi; ndipo nimejikuta kutokea hapa JF (Love Connect) nikavutiwa napo naamini wengi waliopo hapa ni watu wasomi na waelewa pia wastaarabu tofaut na mitandao mingine! Naitwa Amiry Samiry wa Arusha; nina umri wa miaka 29; ni mfanya...
  5. amiry123

    Tuache masikhara kwenye jukwaa hili la love connect

    mi humu ni mgeni lakini kuna mambo kiukweli yamenichukiza tena sanaa najiuliza wewe kama unakuta mwanaume mwenzio kapost humu anatafuta mpenzi/mchumba kwa vigezo vyake...we kinakukera nini? unakuta lijitu limeng'ang'ana kucomment kumpinga au kumvunja moyo mwenzie tena anakereka kweli...
Back
Top Bottom