Kweli mlevi ni mlevi tu.kulikuwa na daktari 1 ambaye aliwakusanya walevi wa chang'aa na gongo,akawaweka kwenye room 1 na kuanza kuwaeleza madhara ya hizo pombe,kuwathibitishia kuwa pombe ina madhara makubwa kwa afya zao alichukua glass mbili kubwa.glas ya kwanza aliweka maji na ile ya pili...
Ni muda mrefu nimekuwa mwanachama wa CHAPUTA lakini sasa nimeamua kujitoa chamani na kutafuta demu.sifa za ninayemtaka: hata akiwa kicheche sio mbaya ilimradi awe tayar kutulia, awe mweusi sana,elimu isiyozidi la saba, naamini ntampata .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.