Hawa wezi wa Nairobi ndio wana roho nzuri? Hakuna watu wenye roho mbaya East Africa kama Kenya!! Hebu wanaotoa hizo taarifa watupumzishe na propaganda zao jamaniih
Kabsa....mim nimeshatakwa na wake za watu sanaa. Lakin mara zote nimepiga chini....wengne wananieleza mambo yao ya ndani kabsa kisa naonekana mstaarabu sanaa. Wanawake ni viumbe wa ajabu sanaa....sijui wakoje yaani. Lakin nilishaapa sitakuja nilale na mke wa mtu mie.
Watu walishazoea kula kwa kuiba.... :D :D :D :D :D Ndio maana wanaompenda rais Magufuli ni wachache sanaa. Wengi waliozoea vya kunyonga hawampendi na wana chuki za wazi kabsa kabsa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.