Akujalishi kupata ahibu nnachofanya in pamoja kupata ushauli wenu was day ili niweze to a uamuzi wa kidemokrasia ila ulichosema nikweli ila tu siamini nitanyiwayo ni kweli au ndoto
Bado simuelewi make wangu juu ya penzi hapendi romance wala mchezo namuuliza kama anatatizo hujibu hana tatizo lolote toka uchumba hadi ndoa hajawai kuniambia hanaitaji mchezo na nikitaka Mimi basis kwa mbinde naomba ushauli
Ni hivi kabla sijamuoa nilimpata kwa shida sana na nilivyompata nakulizika nae akahanza visa sikupi mambo utanizehesha wskati huo alikua na mchumba wake akaniambia namwacha mchumba wangu kama utanihakikishia unafunha ndoa na mimi mana mchumba wake alikua anamzungusha kumuoa mimi nikakubali...
Miimi pia nawaza mengi juu ya mke wangu kwakuwa sifikiri kama mwanamke aweza kumnyima mumewe au kumpangia siku ya kumpa mambo labda sina kiwango au hana mawazo na mimi yaani si mvuti ana mtu wake maharumu
Mpenzi ninampenda nimuonapo tu ananisisimua sana kabla sijamuoa alikua ananiambia nimuoe kwanza ili anipe mambo nitakayo.
Sasa nimemuoa ndio imekua shida kupata mambo hataukiwa na hamu hakupi labda utumie nguvu. Haijawai kutokea kunipa kirahisi mpaka nimezira.
Naomba ushauri wenu tatizo nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.