Recent content by Amelie

  1. A

    Rais Emmanuel Macron Avunja bunge la Ufaransa

    Bunge lililovunjwa ni la nchini Ufaransa. Kutokana na ushindi wa mlengo mkali wa kulia katika bunge la Ulaya.Pia ni ngumu kutengeneza serikali na mlengo mkali wa kulia maana idea zao ni kali hawataki wahamiaji kabisa.
  2. A

    Chama cha Rais Macron na Chancellor Scholz vyapata matokeo mabaya uchaguzi wa Bunge la Ulaya

    Vyama vilivyoshinda ni sababu havipendi wahamiaji waarabu na weuusi.Sera yao kubwa ni kupambana na uhamiaji.
  3. A

    Rais Emmanuel Macron Avunja bunge la Ufaransa

    Kufuatia mlengo wa mbali kulia kupata viti vingi bunge la Ulaya. Rais Emmanuel Macron kavunja Bunge. Hivyo uchaguzi mpya wa wabunge utafanyika tarehe 30 June na awamu ya pili ni tarehe 7 July. Tanzania hususani CCM mna la kujifunza.Acheni kuiba kura heshimuni matakwa ya wapiga kura. Kutoka...
  4. A

    Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

    Kuna yule Swedi alijiuzulu .Nilimshangaa sana kipindi kile.Wanaume hawajiuzulu kwa shinikizo la Mwamedi bwana.
  5. A

    The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

    Mzanzibar huyo wewe.Kwani Wazanzibari huku bara wapo wengi na wamekuwa kama wazawa.Baba yake ni Mzenji pure .Huyo Waziri hata shule alienda kurudia Zanzibar.
  6. A

    The Network: Abdul kiungo muhimu kati ya Rostam Aziz na Mukhsin Patel upande mmoja na Sameer Karim Alibhai na W. Salum upande mwingine

    Huyu Waziri yupo benet na Samia kila sehemu.Binafsi sijawahi ona katibu binafsi wa Rais akiwa benet na Rais kila sehemu. Halafu huyo Waziri elimu ya kuunga unga tu.Ila ndo hivyo Uzanzibari umembeba.
  7. A

    Bingwa uefa:2013: Dotmund au bayern?

    buyern
  8. A

    Lady jaydee kawachota watu??

    Jaydee aliishiwa alipoenda kupandikiza mimba,sasa anarudisha hela kwa nguvu zote,ukizingatia nyumbani pamedodambasi tena anabaki kulia lia tu biashara ushindani,watu wasianzishe bendi kisa ya machozi bend?Sam machozi ndo alimkimbia maana Jide hawalipi vizuri mshahara
  9. A

    Kova aapa kuikagua JamiiForums kila siku kutafuta wachochezi wa Udini!

    kazi ipo sasa watakopost kwa kutumia PC za cafe,sasa IP addresse watamkamata mwenye internet cafe au?au ndo kina Invisible inabidi wasilale kila siku,kazi ipo ili kufuta msg za udini
  10. A

    Kova aapa kuikagua JamiiForums kila siku kutafuta wachochezi wa Udini!

    watahamia facebook na mitandao mingine ya jamii.Udini wameuanzisha wao
  11. A

    Msaada: Mtoto wangu amekunywa petrol

    mpe huduma ya kwanza pia mpekele hospital.wapigie simu hospital uliza huduma ipi ya kwanza waweza mpa
  12. A

    Methali hizi zinazohusu mwanamke,,Je kuna ukweli au imepitwa na wakati?

    mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
  13. A

    Nionavyo Mimi: Hizi ndio Tabia Kuu za Watanzania [Sterio Type]

    ndugu wa mme kuja nyumbani,wakiona mfano mna pasi tatu,basi anachukua moja bila hata taarifa,yani kufanya vitu vya ndugu yao kama vyao,pia kuzaa bila kujiandaa ukifiwa namme unapeleka watoto kwa shemeji yako mwenye uwezo ilihali na yeye ana familia yake
Back
Top Bottom