Bunge lililovunjwa ni la nchini Ufaransa. Kutokana na ushindi wa mlengo mkali wa kulia katika bunge la Ulaya.Pia ni ngumu kutengeneza serikali na mlengo mkali wa kulia maana idea zao ni kali hawataki wahamiaji kabisa.
Kufuatia mlengo wa mbali kulia kupata viti vingi bunge la Ulaya.
Rais Emmanuel Macron kavunja Bunge.
Hivyo uchaguzi mpya wa wabunge utafanyika tarehe 30 June na awamu ya pili ni tarehe 7 July.
Tanzania hususani CCM mna la kujifunza.Acheni kuiba kura heshimuni matakwa ya wapiga kura.
Kutoka...
Mzanzibar huyo wewe.Kwani Wazanzibari huku bara wapo wengi na wamekuwa kama wazawa.Baba yake ni Mzenji pure .Huyo Waziri hata shule alienda kurudia Zanzibar.
Huyu Waziri yupo benet na Samia kila sehemu.Binafsi sijawahi ona katibu binafsi wa Rais akiwa benet na Rais kila sehemu.
Halafu huyo Waziri elimu ya kuunga unga tu.Ila ndo hivyo Uzanzibari umembeba.
Jaydee aliishiwa alipoenda kupandikiza mimba,sasa anarudisha hela kwa nguvu zote,ukizingatia nyumbani pamedodambasi tena anabaki kulia lia tu biashara ushindani,watu wasianzishe bendi kisa ya machozi bend?Sam machozi ndo alimkimbia maana Jide hawalipi vizuri mshahara
kazi ipo sasa watakopost kwa kutumia PC za cafe,sasa IP addresse watamkamata mwenye internet cafe au?au ndo kina Invisible inabidi wasilale kila siku,kazi ipo ili kufuta msg za udini
ndugu wa mme kuja nyumbani,wakiona mfano mna pasi tatu,basi anachukua moja bila hata taarifa,yani kufanya vitu vya ndugu yao kama vyao,pia kuzaa bila kujiandaa ukifiwa namme unapeleka watoto kwa shemeji yako mwenye uwezo ilihali na yeye ana familia yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.